LAPTOP2016
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 728
- 2,140
Cc; Nifah, mjumbe hauwawi.Wewe dada nimekupenda walahi!!
Mungu akutunze uendelee na moyo huo..
Siku moja nitakutumia episode exclusively kabla sijaidondosha hapa..![]()
![]()
Cc; Nifah, mjumbe hauwawi.Wewe dada nimekupenda walahi!!
Mungu akutunze uendelee na moyo huo..
Siku moja nitakutumia episode exclusively kabla sijaidondosha hapa..![]()
![]()
Apana shemu hakuna haja ya namba ntamalizana nae kimyakimya pmAnatumia tigo
Hahahaaaa
Ila usiniulize namba zake subiri aje mwenyewe![]()
Bando la buku litakuhusu ili uapload movie bila pingamiziWAKUU LEO MAPEMA TU, KABLA YA SAA SABA MCHANA EPISODE 5 INAKUWA HEWANI..
Stay tuned..
bado 5![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Unazingua![]()
![]()
Daaa afadhali maana itakuwa mida ya lunchWAKUU LEO MAPEMA TU, KABLA YA SAA SABA MCHANA EPISODE 5 INAKUWA HEWANI..
Stay tuned..
Mkuu ile scene ilikubamba sana,hii ni mara ya 3/4 naona unaiongeleaUwe uwe umelaliwa kifuani kama vile Hasnat alivyomlalia Ray pale Dark City

Cicero ametoa wazo zur kwa The bold shida ni kwamba watanzania si wasomaji wa vitabu kabisa.
Yaani KWENYE SANAA YA UANDISHI LAZIMA UMBABE MSOMAJI, sasa hapo ndo The bold alinibamba,nami ni mpenzi wa kuandika andika,ila napofika sehen ya kuelezea wajihi/taswira ya mwanamke au the way walivyokaa na mwanaune hapo mbona utajikuta kama unaangalia episode za EMPIRE pale kwa Lucious na Mzaz mwenzieMkuu ile scene ilikubamba sana,hii ni mara ya 3/4 naona unaiongelea![]()




Mie nilitamani nngekuwa mm ndo nimepakatiwa daaa hako kasehem hata mm kalinibamba na kunitia majaribunYaani KWENYE SANAA YA UANDISHI LAZIMA UMBABE MSOMAJI, sasa hapo ndo The bold alinibamba,nami ni mpenzi wa kuandika andika,ila napofika sehen ya kuelezea wajihi/taswira ya mwanamke au the way walivyokaa na mwanaune hapo mbona utajikuta kama unaangalia episode za EMPIRE pale kwa Lucious na Mzaz mwenzie![]()

Yaani KWENYE SANAA YA UANDISHI LAZIMA UMBABE MSOMAJI, sasa hapo ndo The bold alinibamba,nami ni mpenzi wa kuandika andika,ila napofika sehen ya kuelezea wajihi/taswira ya mwanamke au the way walivyokaa na mwanaune hapo mbona utajikuta kama unaangalia episode za EMPIRE pale kwa Lucious na Mzaz mwenzieMkuu ile scene ilikubamba sana,hii ni mara ya 3/4 naona unaiongelea![]()




Mie nilitamani nngekuwa mm ndo nimepakatiwa daaa hako kasehem hata mm kalinibamba na kunitia majaribun![]()
Umeona eeenh,na humo ndo unakuta ile tunaita NICE MEMORIES,hata mkiachana ubakumbuka tuMie nilitamani nngekuwa mm ndo nimepakatiwa daaa hako kasehem hata mm kalinibamba na kunitia majaribun![]()
Kabisaaa mkuuUmeona eeenh,na humo ndo unakuta ile tunaita NICE MEMORIES,hata mkiachana ubakumbuka tu
Yaani KWENYE SANAA YA UANDISHI LAZIMA UMBABE MSOMAJI, sasa hapo ndo The bold alinibamba,nami ni mpenzi wa kuandika andika,ila napofika sehen ya kuelezea wajihi/taswira ya mwanamke au the way walivyokaa na mwanaune hapo mbona utajikuta kama unaangalia episode za EMPIRE pale kwa Lucious na Mzaz mwenzie![]()
Yes, nimependa UANDISHI WA JAMAA.Pia mwandishi amefaulu kuonyesha jinsi wahusika wanavyoelekeza mawazo hadi kufikia maamuzi mbalimbali.....
Clkey..usiniambie kwamba hujawahi kupakatwa?!!! kiddingMie nilitamani nngekuwa mm ndo nimepakatiwa daaa hako kasehem hata mm kalinibamba na kunitia majaribun![]()