Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Agghhhhh!! nimepandwa na hasira ghafla liboss gani linakuacha hadi mda huu kazini mtu kama ww na mvua inaanza kunyesha, ,,....
bora hata ungenidanganya ujue,
Hahahaha umesahau kauli ya Sizonje hapa kazi tu na tutakula kwa majasho yetu tulia nitafute pesa bwana
 
Nmeipenda hyo ya tatu sante sana the bold na timu nzima mmeifanya siku iishe kwa kutabasamu


Usisahau kunitag episode ya nne
Blaki womani santee
 
Huo sio upendo ss unataka nikose kibarua ww tulia namalizia natoka
Haya poa japo Kishingo upande,
nahofia mvua si unajua dar mvua ikinyesha tu wahindi wanafungulia mafuriko yao na wao yakikutana na ya mungu vijana wanapata ajira ya kubeba watu migongoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom