mtugani wa wapi huyo
JF-Expert Member
- Dec 5, 2012
- 1,239
- 1,477
Hizo ni sheria zao mkuu.
Hutaki unaacha.
Sawa ila sheria hubadilika pia Mkuu
Hizo ni sheria zao mkuu.
Hutaki unaacha.
Hata mie nimeshangaa, mbona watu huleta habari na wanaweka sources toka vyanzo mbalimbali?Jf hawako fair kbs kwani ukiweka Link ndo tutaihama Jf ?
Hivi hawauoni Mchango wako jf kuna wakati tunalazimika kuweka Bundle sababu ni siku ambayo Unashusha Episode mpya
Laiti kama mchango wako jf wangeuona basi isingekuwa tabu kwao kukumegea percentage lkn ttz hatujui kula na watu tumejaa ubinafs na Roho Mbaya kwa nn matangazo mengine kama ya kuuza nyumba magari nk hayazuiwi ila link ya web ndo iwe shida
Tujifunze ktk Ushindani na si Udikteta
Mkuu The bold ombi nitumie link kwa pm
Ombi plz
Inaitwa digitaldrimz lakini nikii search siipatiMkuu web site unaweza nitumia sikumbuki vizuri
Ndugu hata mi sina. Sasa web tunai search digital mm sijui vile
una picha yako huko na mimi uniadd0718 096 811
Si nasikia ukiweka link au kuitaja website ya The bold unakula ban?
Kama ni hivo bas the bold kajishia namimi kulipia ada, ile the other half niaje mbona siiskii tena ?
Hili swali hata mimi nilimuuliza Bold.Hata mie nimeshangaa, mbona watu huleta habari na wanaweka sources toka vyanzo mbalimbali?
I mean kajishindia hehehe ..kwahiyo kule kwenye website haiendelei tena??? Duh! sasa nyie jamaa kweli mna hasira na hela zanguUnamaanisha nini mkuu?
The Other Half inaendelea ktk group mkuu.
Hahahaaaaa utajisachi mwenyewe mkuu kwa utamu wa story.I mean kajishindia hehehe ..kwahiyo kule kwenye website haiendelei tena??? Duh! sasa nyie jamaa kweli mna hasira na hela zangu
Yani mnataka mnisachi hata mimi ambae sakata la ukosefu wa ajira liminipitia !!! Mungu anawaona kwakweli ila naomba nikumbushe ada zikoje
Walioko kifungoni/ banNani kaweka Kwani??
Dah haya mkuu naona we na mmeo mmeamua kunifanyia usafi mifukoni mwangu kwa vistory vyenu vya uongo na kweli hahaha ila poa tu ntatafuta jinsi ya kuirudisha na mungu nisaidie kwenye hili tafadhali 'amen'Hahahaaaaa utajisachi mwenyewe mkuu kwa utamu wa story.
Ada ni 5000 tu kwa mwezi,karibu.
Hako ka mstari ka mwisho dada kasije kukupa ban na wewe.Hili swali hata mimi nilimuuliza Bold.
Huwa tunaleta habari huku za Millard Ayo,bongo5 na hatupigwi ban.
Hii ni chuki na roho mbaya tu.