Bora umemtolea uvivu kichwa... Big up sanaMpuuzi sana huyu jamaa... Yani kila akiona nyuzi yangu lazima ajilete alafu anaacha kinachojadiliwa anaanza kuongea vitu negative... Umeona ule ujinga alioandika kwenye uzi wako wa CIA??
Huwa nakaa kimya kwa kumdharau ila naona hajifunzi..
Mkuu wewe unaona ni ustaarabu kuenjoy huduma unayopewa bure kisha ukacomment ujinga?kwa nini hauiweki hapa? huo sio ustaarabu kabisa yaani
Fanya kama hakijatokea kitu mzee baba coz wahenga wa kule husema "don wrestle with a pig coz u both get dirty but the pig likes it"Kwa hiyo wewe unajiona mstaarabu kucomment vitu negative kwenye kila uzi nitakaoanzisha??
Kabla hujatoa kibanzi jichoni kwa mwenzako toa kwanza boriti jichoni mwako...
Nakuona sana kwa kipindi kirefu, kila uzi wangu wowote lazima utajitokeza na kucomment vitu negative...
Sipendi mambo ya kijinga kijinga na kupigiana kelele na watu humu mitandaoni.!
Kama unaona ninachokifanya si sahihi achana nacho, soma nyuzi nyingine.. Kuna zaidi ya nyuzi milioni 1 humu JF.!!
Jiheshimu.!!
alisema jion mkuuThe bold fanya mambo, muda ndo huu
Samahani naomba niku-pmThe bold fanya mambo, muda ndo huu
Pamoja mkuuKUMRADHI
HABARI WAKUU.. KUNA HITILAFU FULANI IMETOKEA KATIKA KIFAA NILICHOHIFADHIA EPISODES... NAOMBA MNIWIE RADHI SITAWEZA KUPOST EPISODE SIKU YA LEO... MTAALAMU ANAYESHUGHULIKIA KUREJESHA DEVICE KATIKA HALI YA KAWAIDA ANANIAMBIA NDANI YA MASAA MAWILI AU MATATU ATAKUWA AMEMALIZA.. KWAHIYO MPAKA SAA SITA USIKU KITAKUWA OK..
HIVYO BASI NAOMBA NIPOST EPISODE KESHO KABLA YA SAA SABA MCHANA..!!
MNIWIE RADHI KWA USUMBUFU AMBAO UTAKUWA UMEJITOKEZA...
SHUKRANI..
THE BOLD
Usiache kunitag mkuu.KUMRADHI
HABARI WAKUU.. KUNA HITILAFU FULANI IMETOKEA KATIKA KIFAA NILICHOHIFADHIA EPISODES... NAOMBA MNIWIE RADHI SITAWEZA KUPOST EPISODE SIKU YA LEO... MTAALAMU ANAYESHUGHULIKIA KUREJESHA DEVICE KATIKA HALI YA KAWAIDA ANANIAMBIA NDANI YA MASAA MAWILI AU MATATU ATAKUWA AMEMALIZA.. KWAHIYO MPAKA SAA SITA USIKU KITAKUWA OK..
HIVYO BASI NAOMBA NIPOST EPISODE KESHO KABLA YA SAA SABA MCHANA..!!
MNIWIE RADHI KWA USUMBUFU AMBAO UTAKUWA UMEJITOKEZA...
SHUKRANI..
THE BOLD