Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Hahaha Le super twin, Imebidi tu nicheke. Aliyeturithisha hii "pride", nambariki sana. Kula raha mama

Btw nimepitwa mno na hii story, na imefika mbali uuuh
Nifah anakuhofia sana! nisaidie kumwambia NAMPENDA MUMEWE The bold[emoji8] [emoji7]
 
Hujachelewa sana, wiser1 anamtafuta ubaya Mrs. The bold kwa nguvu
Nope ni kawaida tu kwetu, especially when you have an ideal man like him. So far inakufanya uwe na uhakika na uwe proud zaidi kwamba you made a perfect choice. Afu uzuri ni kwamba we know our worth and we know our places, so huwa tunarelax tu koh koh[emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Mkuu The Bold unikumbuke kafika ufalme wako utakapotupia episode ya 20 [emoji3] [emoji3] usinisahau mkuu kunitag areef...
 
Nope ni kawaida tu kwetu, especially when you have an ideal man like him. So far inakufanya uwe na uhakika na uwe proud kwamba you made a perfect choice. Afu uzuri ni kwamba we know our worth and we know our places, so huwa tunarelax tu koh koh (kidding lol)
Kama naliona likichwa la The bold lilivyovimba hahaha
 
Nope ni kawaida tu kwetu, especially when you have an ideal man like him. So far inakufanya uwe na uhakika na uwe proud zaidi kwamba you made a perfect choice. Afu uzuri ni kwamba we know our worth and we know our places, so huwa tunarelax tu koh koh[emoji126] [emoji126] [emoji126]

Le super twinito...uwiiiiiii umemaliza yote mama.
Niseme nini? Wewe ndio kiboko yangu eti?
Maana nilivyo ndivyo ulivyo! [emoji4] [emoji119]
 
Hahaha Le super twin, Imebidi tu nicheke. Aliyeturithisha hii "pride", nambariki sana. Kula raha mama

Btw nimepitwa mno na hii story, na imefika mbali uuuh
Raha nazila na karibia nitawaaga vimbaumbau wenzangu twin,jamani The bold ananipenda hadi nanenepa kwa raha.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] Acha tu nipate ushindani,sishangai coz I got le super man u know.
hahaha
 
Ha ha ha ha ha haaaaa!..........ngoja tuone km ney ney kweli ama maneno tu
My dear...jokes aside,nakuelewa sana.
The bold ni mwanaume wa kipekee sana,kama nilivyompenda mimi sishangai wewe kumpenda.

Hivyo usidhani namind wala nini,na wala siwezi kugombana na wewe au wenzio (maana ni wengiiiiiii uwiiiiiii [emoji23] [emoji23] [emoji23] ) mimi nitadeal na my man,period.
Wewe endelea na harakati zako,nipo relaxed kabisa [emoji4].
 
Raha nazila na karibia nitawaaga vimbaumbau wenzangu twin,jamani The bold ananipenda hadi nanenepa kwa raha.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] Acha tu nipate ushindani,sishangai coz I got le super man u know.
hahaha
Ooh no vimbaumbau tunapungua jamani lol. Kale raha mama, halafu vikiwa vya halali ndo vinanoga zamani. Wapambe tusikose haha
 
Haha usinivimbishe bichwa twin
Wallah twin.
Tena ngoja nikumegee siri,hili jambo niliwahi kumuambia The bold that "Kama nisingekuwa mimi basi angefaa Heaven Sent" usidhani leo nimesema tu,noooope ni jambo la kweli na nilishalisema kwa muhusika kitamboooo [emoji23] [emoji23] [emoji23]

You deserve it twin [emoji119] [emoji8]
 
Wallah twin.
Tena ngoja nikumegee siri,hili jambo niliwahi kumuambia The bold that "Kama nisingekuwa mimi basi angefaa Heaven Sent" usidhani leo nimesema tu,noooope ni jambo la kweli na nilishalisema kwa muhusika kitamboooo [emoji23] [emoji23] [emoji23]

You deserve it twin [emoji119] [emoji8]
Jamani, you seem to think very highly of your twin and you always honor her ; this means a lot to me. I truly appreciate swts. Super thanks [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom