F.F Salulatary
Member
- Sep 20, 2015
- 38
- 19
Zigid shigda mpango wa siku tatu kama ilvyo takiwa,,,,
shukran mkuu mungu akupe afya njema uzidi kuleta burudan humu mjumbeTayari mkuu.. Nimeweka mbili, episode 13 & 14
Pamoja mkuu! Shukrani..Mkuu umetisha, bigup
Tayari mkuu..Kuna SMS nimekutumia pm
Amen.! Shukrani..shukran mkuu mungu akupe afya njema uzidi kuleta burudan humu mjumbe
Mkuu, u have made my evening... thanks for the suprise bro.. maana nlikua nikitegemea episode moja.. lakn umefanya muujiza mkuu.. be blessed bro,Tayari mkuu..
Episodes zijazo utaona jinsi dume dada alivyopangwa..Daah salute mkuu,
Sijui ulimpangaje huyo dada ,kaka sinyorita
Maana atapigwa virungu kule
Yap! Kesho kutwa tunaendeleza gurudumu..safi sana...
tusubiri hiyo ijumaaa, naona show inazidi kunoga.
Hahahah!! Hii utamu kila episode.. Mpaka tunafika mwisho naamini utatamani iendelee tu..Kipindi kile inafikia gerezani, niliona kama inachuja vile, kumbeeeeee...
Kesho kutwa Ijumaa naweka episode..Duhhh kwa hio mkuu Mpaka juma nne ijayo??
Hahaaaaaa! Morning broohKaka kwema uko kuna wengine tupo njee ya nchi bongo hatuna watu tufanyie hisani niunge kwenye group niwe napata vipepeo weusi nikija mwenzi 7 ntakupa mihela yko nomb yngu +27784696692
Acha tu mkuu, naisubiri kwa hamu kubwa sana.Hahahah!! Hii utamu kila episode.. Mpaka tunafika mwisho naamini utatamani iendelee tu..