Evarist Massawe
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 666
- 853
ni leo mkuu usihofu atakuja mkuu the bold huwa hasahau ahadi yake.The bold Ni leo au lini??
ni leo mkuu usihofu atakuja mkuu the bold huwa hasahau ahadi yake.The bold Ni leo au lini??
Naweka ndani ya muda mchache..daah jnne imefika maana huwa naisubiri kama salary day
Nitakutag mkuu..ila mkuu the bold nakuomba unitag na mm mjumbe tafdhali sana napitwa mnooo ndugu yangu usinisahau kiongoz
Muda si mrefu itakuwa hapa..Blaki
Mkuu upo wapi siku inepamba moto kichizi
J4 imewakaa tupia kitu jembe naiman itakuwa ndefuuuy maana
Yeyo safiii mkuuMuda si mrefu itakuwa hapa..
Leo nimeweka mbili mkuu..
Dah asante mkuu... naomba na mimi uwe unanitagLeo nimeweka mbili mkuu..
Tayari mkuu.. Nimeweka mbili, episode 13 & 14ila mkuu the bold nakuomba unitag na mm mjumbe tafdhali sana napitwa mnooo ndugu yangu usinisahau kiongoz
Tayari mkuu episode 13 & 14.. Post # 3310 & 3311Du! Patamu hapoo!!!!
ØMkuu story imenichanganya nianzie wapi maana na click hizo epsod zinKataa hebu niambie kuna epsod zote kwenye uzi huu nizitafte?
Mkuu umetisha, bigupLeo nimeweka mbili mkuu..
Kuna SMS nimekutumia pmTayari mkuu episode 13 & 14.. Post # 3310 & 3311