Eeeeeh bwana eeeh? What a story?
Ni kama nilikuwa naangalia movie vile.
Mtiririko wa story ulio na maelezo ya kina kwa kila hatua umenivutia sana.
Siwezi kusubiri jumamosi...damn sipendi pressure za story kama hizi basi tu sina jinsi safari hii nimepatikana.
Story nzuri,kama kawaida hukosei honey
Hahahaah!! Leo episode mpya inadondoka bila shaka wakuu.. Stay tuned.. Mchana itakuwa imewasili hapa
ha ha tatizo babu hauonekani umejifichaTabia mbaya ya kunichunia. Si unajua mimi ndo mmeo??
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]ha ha tatizo babu hauonekani umejificha
Mara ya mwisho kunitafuta ilikuwa lini?? Mungu anakuona ujueha ha tatizo babu hauonekani umejificha
Ntarudi, naweka kwa ajili ya kumbukumbu
The böld Mbona siku inaisha mkuu huonekani jukwaani pakua bana hiyo makitu nafsi ziburudike jooo...
Mkuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
ukiiweka uni tag tafadhali The bold
Mara ya mwisho kunitafuta ilikuwa lini?? Mungu anakuona ujue
***** jamaa katuchomesha maindi leo, nahisi hajui kama dar mvua hakuna hivo mahindi hayata uzika, nifanyeje,,,,,, sasa,,,,,,, khaaaaaaaa!!!!
Ila leo haijaishi yamebaki masaa mengi tu,
Mniswamehe wakuu! Kuna mambo yaliniweka bize kidogo nilikuwa offline.DAH! sina kitu cha kusoma, uspende kuweka vitu nusu nusu bana!
Zimebaki dakika 32 mkuuMniswamehe wakuu! Kuna mambo yaliniweka bize kidogo nilikuwa offline.
Nimerudi sasa, ndani ya dakika 45, episode 2 inakuwa hewani..
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Zimebaki dakika 32 mkuu