Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Jipange kijana... kuna kagorofa nataka kumwaga zege. Na huyu Nifah ndo mtaji... Si unajua mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe??
Daahh ntafanyaje sasa

Maana nimesikia mkinihurumia sana ng'ombe sabini.. Ndio najichanga changa! Washafika 40 mpaka sasa
Nakuja babu utuhalalishe..
 
babu kwa mkwara huu lazima afunge mkanda atoe kiasi chochote mtakachomtajia
Hahahahahaaaaa dah nimecheka sana.
Unafanya masihara?? Wakati ukiwa mdogo, siku moja mama yako aliniachia nikubebe... lile kojo ulilonimwagia kwenye mahari thamani yake ni ng'ombe saba na nusu. Yaani katika hao saba mmoja lazima awe na mimba ya miezi sita na robo...

Kwenye mahari ya wajukuu huwa sina cha mswalie Mtume. Vinginevyo ntamuachia Mungu.
 
Daahh ntafanyaje sasa

Maana nimesikia mkinihurumia sana ng'ombe sabini.. Ndio najichanga changa! Washafika 40 mpaka sasa
Nakuja babu utuhalalishe..
Ukizidi kuchelewa utanifanya nizidi kukumbuka machungu na matendo mabaya aliyonifanyia enzi za utoto wake...

Nikikumbuka siku nlipokuwa namvalisha nepi afu akanizawadia zawadi ya kauharo kembamba... wallah nakuapia ng'ombe wataongezeka.... maana nilinawa mikono kwa kutumia mche mzima wa sabuni mbuni.
 
Usijali Mkuu! Mwenyezi Mungu ataleta wepesi..

Maandiko yanasema; "akiisha kunijaribu, nitatoka kama dhahabu"

Hata Steve Jobs aliwahi kugongea msosi for two years.. Lakini mwishoni akaja kuwa moja ya binadamu muhimu zaidi kuwahi kuishi..

So don't worry the storm will pass..
Nashukuru Mkuu kwa kunitia moyo........Umeniona nini? nipo hapa kwa mama Ntilie ninamsomesha japo anipe ''Staff'' (Ukoko) kwani leo mambo yamekua Bila Bila nangoja auzeuze kwanza najichekesha chekesha na kujikomba kwake sana na Kumsifia ya kuwa anajua kupika ndio maana siendagi kwa mama Ntilie mwingine........aaaahaaaa kumbe ni somo tu Njaa mbaya sana na najiuliza siku akiniambia nitoke naye sijui itakuwaje na Njaa zangu hizi? kwa maana ni mwingi wa Habari........
 
Unafanya masihara?? Wakati ukiwa mdogo, siku moja mama yako aliniachia nikubebe... lile kojo ulilonimwagia kwenye mahari thamani yake ni ng'ombe saba na nusu. Yaani katika hao saba mmoja lazima awe na mimba ya miezi sita na robo...

Kwenye mahari ya wajukuu huwa sina cha mswalie Mtume. Vinginevyo ntamuachia Mungu.
jamani!
 
Unafanya masihara?? Wakati ukiwa mdogo, siku moja mama yako aliniachia nikubebe... lile kojo ulilonimwagia kwenye mahari thamani yake ni ng'ombe saba na nusu. Yaani katika hao saba mmoja lazima awe na mimba ya miezi sita na robo...

Kwenye mahari ya wajukuu huwa sina cha mswalie Mtume. Vinginevyo ntamuachia Mungu.

Ukizidi kuchelewa utanifanya nizidi kukumbuka machungu na matendo mabaya aliyonifanyia enzi za utoto wake...

Nikikumbuka siku nlipokuwa namvalisha nepi afu akanizawadia zawadi ya kauharo kembamba... wallah nakuapia ng'ombe wataongezeka.... maana nilinawa mikono kwa kutumia mche mzima wa sabuni mbuni.


Babu kwenye mahali nitaongeza na 'bonus' kwa ajili yako kwa hizi dhoruba zilizokukuta kipindi unamlea..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom