Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Mie nimeishamaliza kula dinner jamani sijui yuko wapi kichwa Ray
Dinney ipi hiyo mkuu?
Mie nimeishamaliza kula dinner jamani sijui yuko wapi kichwa Ray
Huyo umemtoa Zhongh Yutong eeh?nilikuwa faragha na shemeji yako Clkey, tunahitaji utulivu.
Hahaha toka muheshimiwa aingie ratiba imebadilika ni milo miwili tulabda mkuu the bold alimaanisha dinner la kiswahili lile la saa nne usiku..nyie wadhungu huwa mnawahi saana kula dinner sio kwetu sie waswahili
Na bora atuletee muendelezo wa punch maana tumeisharudi majumbaniAnapiga punch za kushushia dinner.
Dinner yangu mwisho saa moja sijui yako mkuuDinney ipi hiyo mkuu?
Dinner yangu mwisho saa moja sijui yako mkuu
Mai darling waambie hao nipo nmetulia tuli mapajani kwakoHuyo umemtoa Zhongh Yutong eeh?
Ama kweli china ni manufacturer wa kila kitu...
Clkey niko nae tunakunywa wine toka saa 1610hrs tunasubiri episode mkuu...
Mtoto jicho limemtoka hata simu hawezi kushika tena...! Can't you see her silence...
Nyie hangaikeni mm na deal na lubuva + jecha ndo wana final saysHabari za hivi punde!
Ndugu wana Jf, ule mtanange wa wagombea wanne unaendelea huku ndugu fakalava akiongoza kwa mbali sana akifuatiwa na Transcend.
Mkoroshokigoli Kajitoa, wafuasi wa Johnson wamekimbia na masanduku ya kura kusikojulikana.
Mmhhh wambea wengi mimi kapuku hata hela ya kukodi sinaHebu ninong'oneze
Ukisema ya kiswahili unakosea sema ya kibantulabda mkuu the bold alimaanisha dinner la kiswahili lile la saa nne usiku..nyie wadhungu huwa mnawahi saana kula dinner sio kwetu sie waswahili
Mwanaume hupaswi kujiliza liza hivyo ebooooMmhhh wambea wengi mimi kapuku hata hela ya kukodi sina
Hello Capt Tamar... Ndo Maana hua napakubali saaana JF hapa ni kuliko darasani.. Haya kwa faida yangu Mwenyewe na kwa ya watu wengine... correct me nlipo kosea bro.. kwa moyo safi kabisa.. thanks bro..Hiki kizungu cha leo humu kina matege!
Soma post # 2508 !Nyie hangaikeni mm na deal na lubuva + jecha ndo wana final says
That's why I told you "we were in privacy.Can't you see her silence
Take more wine!! The bold yuko anaiweka vizuri...Kakaang The Bold hii mambo vp jaman nshatoa macho hapa ka mjusi alobanwa na mlango lkn ktu hakiji tu
Let me twist you lovie! Bado hawaamini ujueMai darling waambie hao nipo nmetulia tuli mapajani kwako