dikembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 1,645
- 1,437
Fanya utaratibu usisahau kunitag....namasteEpisode 8 inakuja wakuu wala msiwe na shaka..
Leo hii hii! Kabla hata hamjala diner..
Masuala ya "protokali" tu yanawekwa sawa..
Fanya utaratibu usisahau kunitag....namasteEpisode 8 inakuja wakuu wala msiwe na shaka..
Leo hii hii! Kabla hata hamjala diner..
Masuala ya "protokali" tu yanawekwa sawa..
Aiseeeee ngoja nirudi darasaniThe bold does fogeted is which my tag plize.
mkuu kiluguru hiki auThe bold does fogeted is which my tag plize.
Kabla ya dinner itakuwa tayari.Aiseeeee ngoja nirudi darasani
Mlishaingia mitini wote ! Sema umeona kapotea kabisaa...unataka kuja kupiga sarakasi kwenye Transformer la 1200 Mega Volt Amp..Johnson kaingia mitini.
Bro.. Kindly Tag me As Well.. Thanking you in advance..Episode 8 inakuja wakuu wala msiwe na shaka..
Leo hii hii! Kabla hata hamjala diner..
Masuala ya "protokali" tu yanawekwa sawa..
Ningemfananisha na mtu lakini sina 7m ya dhamanaAiseeeee ngoja nirudi darasani
Mkuu una traits za Yahya Jammeh! Unataka kujitangazia umiliki wa ile asset...?Habari za hivi punde!
Ndugu wana Jf, ule mtanange wa wagombea wanne unaendelea huku ndugu fakalava akiongoza kwa mbali sana akifuatiwa na Transcend.
Mkoroshokigoli Kajitoa, wafuasi wa Johnson wamekimbia na masanduku ya kura kusikojulikana.
nilikuwa faragha na shemeji yako Clkey, tunahitaji utulivu.Mlishaingia mitini wote ! Sema umeona kapotea kabisaa...unataka kuja kupiga sarakasi kwenye Transformer la 1200 Mega Volt Amp..
You will get killed
Mie nimeishamaliza kula dinner jamani sijui yuko wapi kichwa RayKabla ya dinner itakuwa tayari.
Hebu ninong'onezeNingemfananisha na mtu lakini sina 7m ya dhamana
Hebu rudia tenaaaaaa!The bold does fogeted is which my tag plize.
labda mkuu the bold alimaanisha dinner la kiswahili lile la saa nne usiku..nyie wadhungu huwa mnawahi saana kula dinner sio kwetu sie waswahiliMie nimeishamaliza kula dinner jamani sijui yuko wapi kichwa Ray
Hiki kizungu cha leo humu kina matege!Bro.. Kindly Tag me As Well.. Thanking you in advance..
Anapiga punch za kushushia dinner.Mie nimeishamaliza kula dinner jamani sijui yuko wapi kichwa Ray