VIP wekeza kihalali kuanzia 10,000

VIP wekeza kihalali kuanzia 10,000

Ungeeleza hiyo faida inapatikana vipi, hiyo return ni kubwa sana kuwa sustainable. Mfano wakachanga watu zikafika milioni 500 utazalishaje faida ya mil 250 kwa miezi 6?? Isije kuwa ponzi scheme?...ambapo hiyo inYoitwa faida ni gawio kutoka makusanyo ya wachangiaji wapya.

Pyramid ikianza kuwa flat mfumo unakufa...yaani pale wanaoingia wapya wakiwa wachache kuliko waliopo. Mara nyingi ponzi scheme ambapo ni utapeli na illegal wanakwambia weka kiasi fulani upate kiasi fulani baada ya muda fulani, ambapo huwa ni kikubwa kuliko kawaida na hakuna mfumo wa uzalishaji bali ni zile zile fedha zinakuswanywa na kugawanywa kwa wachangiaji waliopo.

Mfano ni deci, d9 na nyinginezo zilizopigwa marafuku...na lugha zao huwa tamu kwa geresha fulani watakwambia tunabet au tumewekza kwenye hiki na kile lakini hawawezi kuthibitisha kihesabu. Kuwa mwangalifu. Ni mtazamo tu wa jicho tofauti, pengine siko sahihi.
Ukifatilia kwa makini katika nyuzi zetu za miradi humu utaona kuwa miradi yetu yote na uwekezaji una limitation.

Hatuchangishi zaidi ya kinachohitajika kwa mradi fulani.

Mfano tulikuwa na mradi wa mchanga tukachangisha million 30 tu. Tukafunga uwekezaji. Mradi wa excavator million 40 tukafunga uwekezaji.
 
Binafsi nimenufaika na mradi wa bodaboda. Kiasi nilichowekeza kisharudi na nimeanza kula faida. Sijawahi kukutana na Mzee Abdul wala Mkewe Bi Zainab Tamim. Niliwekeza nilichokuwa tayari kukipoteza
 
Ukifatilia kwa makini kati nyuzi zetu za miradi humu utaona kuwa miradi yetu yote na uwekezaji una limitation.

Hatuchnagishi zaidi ya kinachohitajika kwa mradi fulani.

Mfano tulikuwa na mradi wa mchanga tukachangisha military 30 tu. Tukafunga uwekezaji. Mradi wa excavator million 40 tukafunga uwekezaji.
mnakopesha?
 
atakaye tapeliwa akalilie huko huko pm

Tunakukaribisha ujiunge nasi halafu uje kurusha vijembe humu. Kama hutaki kujiunga tunakuomba na kukukaribisha ututembelee uje kujionea miradi tunayoitangaza humu kisha uje kuripoti upendacho.

Nje ya hapo haututendei haki na unatisha watu kujiunga sijui kwa faida ipi uipatayo.
 
Hawa watu wako vizuri sana,nimewahi kuwatembelea,na nimependa hata eneo walioko,ni wajasiriamali wa uhakika.Najitahidi nipate nafasi niwatembelee tena.Kwa kweli wako vizuri.
 
Mr Abdul Ghafur, mimi napenda kutumia fursa hii kuwapongezeni kwa hatua mliyoifikia.
Kwa imani yangu, I trust you na nina nia njema ya kujiunga na hii program yenu.Naomba uniongezee maarifa zaidi hata kwa pm.
Thanks in advance.
 
Mr Abdul Ghafur, mimi napenda kutumia fursa hii kuwapongezeni kwa hatua mliyoifikia.
Kwa imani yangu, I trust you na nina nia njema ya kujiunga na hii program yenu.Naomba uniongezee maarifa zaidi hata kwa pm.
Thanks in advance.
Unaweza kuwasialiana nasi kwa whatsapp au simu 0625249605
 
Kulitokea Nini mbona ulikuja kwa Kasi Sana...hivi Fiza Foxy yupo
Tulikosa waendeshaji saccos.

Sasa hivi tunafanya shughuli zingine kwa kasi zaidi bila ya kuwa na saccos. Ukipenda kufahamu tunayofanya tutakujulisha.
 
Back
Top Bottom