Abdul Ghafur
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 610
- 749
Huu mradi haupo tena.
Pole sana ndugu yangu. Watu wanawekeza mamilioni. Pitia uwekezaji wetu ulioisha ujionee: Sasa tumewaletea uwekezaji mpya unaolipa kihalaliYaani unafikiri kipindi hiki kuna mtu wa kutuma elf kumi kirahisi hivyo,
Bora mwenzako wa KUSAIDIANA ONLINE SACCOS,
yeye mtu anajiunga elf mbili then unachangia elf moja kila wiki Na baada ya mwezi unakopa Mara mbili ya akiba yako!
Unapata faida isiopungua 50% kwa miezi sita.unanufaikaje?
Interest
Na uhakika wa pesa yangu kua salama ukoje
Hao wa online ndo wale wanaoingia mitini mwisho wa siku ..fungua thread mpya uwaandike ..na utoe maelezo,anwani yao, wamesajiliwa wapi, ofisi zao zipo wapiYaani unafikiri kipindi hiki kuna mtu wa kutuma elf kumi kirahisi hivyo,
Bora mwenzako wa KUSAIDIANA ONLINE SACCOS,
yeye mtu anajiunga elf mbili then unachangia elf moja kila wiki Na baada ya mwezi unakopa Mara mbili ya akiba yako!
Laki tano jumlisha faida laki mbili na nusu. Ndani ya wiki 26.Nikiwekeza lak 5 napataje faida maelezo plz
Hao wa online ndo wale wanaoingia mitini mwisho wa siku ..fungua thread mpya uwaandike ..na utoe maelezo,anwani yao, wamesajiliwa wapi, ofisi zao zipo wapi
Mr Abdul sjakujibu wewe ...nimemjibu huyo mwingine anaye advertise online saccos yake na kusema sio rahisi mtu kutuma elfu 10, nimemshauri nimemwambia afungue thread yake mpya aelezee hio ya kwake na atoe maelezo na sio kuitangaza kwenye thread yako inakua sio uungwana.Tuko Misugusugu, Kibaha Mkoa wa Pwani, mtaa wa Vitendo. Miradi yetu ipo wazi na tunakushauri kabla ya kuwekeza uje kutuona na kujionea mwenyewe miradi yetu.
Kuwa online siku hizi hakukwepeki ndio maendeleo na sisi tunayatumia kwa faida ya wengi.
Mr Abdul sjakujibu wewe ...nimemjibu huyo mwingine anaye advertise online saccos yake na kusema sio rahisi mtu kutuma elfu 10, nimemshauri nimemwambia afungue thread yake mpya aelezee hio ya kwake na atoe maelezo na sio kuitangaza kwenye thread yako inakua sio uungwana.
Usijali Mr Abdul tupo pamoja.Unisamehe haya mambo ya jamii anaeweza Bi Zainab Tamim.