Heshima kwako Mbogela,
Hili jambo lipo na nimewahi kulishuhudia mara nyingi.Mfano mzuri ni KKKT Usharika wa mjini kati.Viti vya mbele vinakaliwa na wafanyabiashara wakubwa au viongozi wenye vyeo vya juu serekalini eg RPC,RCO,RAS na nk.Hakuna sheria inayokataza waumini wa kawaida kukaa viti vya mbele isipokuwa kuna utaratibu wa siri unaowahakikishia vigogo wanakaa viti vya mbele.
Waumini wa usharika wa mjini kati ni mashaidi wa hii kitu,wapo wafanyabiashara wakubwa kama Mzee Mshiu kila j2 lazima aketi kiti cha mbele.Aliewahi kuwa RPC Arusha Afande Kombe alikuwa akikaa kiti cha mbele pia RAS jinaimelisahau alikuwa akikaa kiti cha mbele.