kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,310
- 12,607
Nadhani sasa Wamechanganyikiwa, hawana uhakika wa nini wafanye kwenye maeneo yao maana wakikaa kimya wanatumbuliwa, wakiwa wapole kwa wananchi wanatumbuliwa na wakiwa wakali kwa wananchi wanatumbuliwa pia, hadi raha!!. Wako njia panda nadhani, wamejawa hofu, hawana uhakika kama wako sahihi au wanakosea. Unawashauri nini?