Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
tupia thread tena mkuu tufanye utatuzi
mkuu umewekewa link...hii hapa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/13023-secrets-of-swiss-banking-kitabu.html
tupia thread tena mkuu tufanye utatuzi
Mkuu, Zitto alisema hawanunui hata nyanya wa mchicha wa TZ, tujiulize wawekezaji gani hawa?:eek2::eek2: yani kampuni za gas hazina mfanyakazi mtanzania hata mmoja?
Nyingi sana?Trilion 16?
Mkuu zinaandikwa 16,000,000,000,000.00 divide by 40M person... Mungu Mponye Dr. Ulimboka, Mungu ibariki Tanzania.Nyingi sana?
sasa jamani si wapunguze deni angalia trilioni 22-16= zibaki sita tu. Hawa watu hawana huruma hata chembe itafika time watapiga watu hadharani. Maana sasa wameanza kufanya kwa kificho. Ingawa wanaumbuka.ama kweli tuna kobolewa ile mbaya. .... Lakini kule bungeni mbona wanaonekana wote wanauchungu na raia.... Wote wajidai kumtetea mnyonge..!
Sishangai... Nilipoanzisha hii thread (Secrets of Swiss Banking) mwaka 2008 sikueleweka, wengine hata HAWAKUIJALI, hawakuangalia hata tip niliyoweka!