Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 5,688
- 8,927
Thread was deleted
HapanaHili nalo mtasema wakati wa Magufuli halikuwepo!
Ukiachana na issue ya pesa..Kanikwaza sana uyu aliyepo arusha kanicheleweshea pesa yangu
Ambulance inaruhusiwa mzee.. stress za kukosa kazi usizihamishie huku.Ukiachana na issue ya pesa..
Wagonjwa wangapi wanakutana na matatizo njiani endapo watanaswa kweny hio misafara
Leo saa tatu asubuhi Morogoro eti Ndugai naye ana msafara wa kuzuia watu wasipiteHii ni kero ambayo nahisi imebarikiwa kabisa na mamlaka.
Hauwezi kunikalisha barabarani mda mrefu kisa wewe una msafara wako misafara ambayo haina hata maana.
Nimetoka ku experience huu upuuzi mda si mrefu.
Kuna haja ya hili kuangaliwa kwenye katiba mpya
Wagonjwa wote wanapakiwa kweny ambulance?Ambulance inaruhusiwa mzee.. stress za kukosa kazi usizihamishie huku.
Shida sana hiiLeo saa tatu asubuhi Morogoro eti Ndugai naye ana msafara wa kuzuia watu wasipite
Tutembee wote barabaraniMkuu ulitaka ukae naye kwenye foleni,
Kawaida wenye msafara niLeo saa tatu asubuhi Morogoro eti Ndugai naye ana msafara wa kuzuia watu wasipite
Wengine sio namba mojaMkuu mpaka leo hujajua hatar ya kiongozi hasa namba moja kukaa foleni na magari binafsi bila sababu za msingi. Nazan umeamua utuzingue tu bana.
Ha ha haaaa noma sanaAmbulance inaruhusiwa mzee.. stress za kukosa kazi usizihamishie huku.
Acha kukariri!Ambulance inaruhusiwa mzee.. stress za kukosa kazi usizihamishie huku.
Nani kasema sasa??Hili nalo mtasema wakati wa Magufuli halikuwepo!
Kwani watu kugombea madaraka hata kwa mbinu chafu, unafikiri huwa kwa ajili ya kupiga mpunga tu?Hii ni kero ambayo nahisi imebarikiwa kabisa na mamlaka.
Hauwezi kunikalisha barabarani mda mrefu kisa wewe una msafara wako misafara ambayo haina hata maana.
Nimetoka ku experience huu upuuzi mda si mrefu.
Kuna haja ya hili kuangaliwa kwenye katiba mpya