magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 7,429
- 13,171
If you are smart enough utagundua anachoongelea jamaa unafunga barabara saa tatu msafara unapita saa tano.Mkuu mpaka leo hujajua hatar ya kiongozi hasa namba moja kukaa foleni na magari binafsi bila sababu za msingi. Nazan umeamua utuzingue tu bana.