DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,497
- 99,296
Waziri mkuu wa poland, Donald tusk ameviamrisha vyombo vya usalama nchini Poland (POLISH SECRET SERVICE) kujiandaa ipasavyo kwa matokea yoyote ya kutisha ya kikanda baada shambulio la kigaidi mjini Moscow usiku wa Jana.
Katika kauli yake hiyo, hakutamka Wala kuonesha Kusikitika au kulaani shambuliz Hilo la kigaidi kwa serikali ya URUSI na raia wake.
Katika kauli yake hiyo, hakutamka Wala kuonesha Kusikitika au kulaani shambuliz Hilo la kigaidi kwa serikali ya URUSI na raia wake.