NSHOMA FRANCOUS
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 698
- 325
Nawashanga sana mmekubali kusubiri kula ya maoni ya katiba mpya wakati kila sehemu katiba pendekezwa haikubaliki,kula zitachakachuliwa mtabaki mnabwabwaja tu! tunahita watu kama BESIJE wa uganda,tembeeni kwa miguu kwenda maofisini kuipinga,kama mnaipenda kweli nchi hii,nyie ndo icons katika siasa! fanyeni kama Baba lamidevu kule india tuone kama kweli mko serious