mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Viongozi wa dini ya kiislaam mkoa wa DSM wamelaani mauaji ya canar Ghadaffi.
Wamesema Ghadaffi amejanga misikiti mingi sana barani Africa ikiwamo Tanzania.
Pia wamesema pale Dodoma Ghadaffi amejenga msikiti mkubwa sana wa kiistoria.
Na mwisho wamesema Ghadaffi alikuwa mbioni kujenga chuo cha kiislamu ndani ya Tanzania.
Source - Channel ten...taharifa ya habari ya saa moja leo jioni
Wamesema Ghadaffi amejanga misikiti mingi sana barani Africa ikiwamo Tanzania.
Pia wamesema pale Dodoma Ghadaffi amejenga msikiti mkubwa sana wa kiistoria.
Na mwisho wamesema Ghadaffi alikuwa mbioni kujenga chuo cha kiislamu ndani ya Tanzania.
Source - Channel ten...taharifa ya habari ya saa moja leo jioni