mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Leo niliona viongozi wa vyama vya wafanyakazi katika maandalizi yao waliweka viongozi wengi wa dini kuzidi hafla zozote zilizowai fanyika hili hawa viongozi wafikishe maombi kwa Mungu ya maslai bora, mishahara juu kazi iendelee lakini imekuwa tofauti sijui vipi.
sijajua kama tatizo liko wapi.
sijajua kama tatizo liko wapi.