YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
NGO za kidini mpeni nishani ya heshima.Mama Samia kwa kutambua haki za kidini na kutozikwamisha kwa lolote
Wala kuzisumbua sumbua
Viongozi wa dini mashahidi .Awamu hii usumbufu haupo
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.Mama Samia apewe asante sio kimyakimya au sirini .Viongozi wa dini tokeni wazi kushukuru
Viongozi wa dini nadhani mnaelewa ninachoongea na alichofanya kwenye huu utawala wake.Eneo moja korofi lilikuwa pale wizara ya mambo ya ndani ile wizara ilikuwa kama ina vita na dini kuwa wako pale kupigana vita na dini na NGO za kidini.
Alipofanya mabadiliko akawaondoa akina Simbachawene nk akawaweka walioko chini ya Waziri Hamad Masauni hawa wa sasa wamefanya kazi kubwa kurekebisha maukorofi na ukwamishaji waliyokuwa nayo akina Simbachawene and Company wa kuziona taasisi za dini kama adui yao namba moja
Nipongeze kwa kazi nzuri kafanya Waziri wa mambo ya ndani wa sasa
Wala kuzisumbua sumbua
Viongozi wa dini mashahidi .Awamu hii usumbufu haupo
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.Mama Samia apewe asante sio kimyakimya au sirini .Viongozi wa dini tokeni wazi kushukuru
Viongozi wa dini nadhani mnaelewa ninachoongea na alichofanya kwenye huu utawala wake.Eneo moja korofi lilikuwa pale wizara ya mambo ya ndani ile wizara ilikuwa kama ina vita na dini kuwa wako pale kupigana vita na dini na NGO za kidini.
Alipofanya mabadiliko akawaondoa akina Simbachawene nk akawaweka walioko chini ya Waziri Hamad Masauni hawa wa sasa wamefanya kazi kubwa kurekebisha maukorofi na ukwamishaji waliyokuwa nayo akina Simbachawene and Company wa kuziona taasisi za dini kama adui yao namba moja
Nipongeze kwa kazi nzuri kafanya Waziri wa mambo ya ndani wa sasa