Pole sana. Ipo siku hayo maradhi yataponaAlikuwa kwenye ibada ya wapi..
Kanisa au mskiti
Huna akili, Mungu hadhihakiwi soma vizuri ueleweMkuu, umelala na kuamka. Na kifungua kinywa chako ni Makonda?
Chakula chako cha machana na jioni ni Makonda?
Tafadhali NENDA KAFANYE KAZI iliuendelee na ujenzi wa taifa.
HOJA ama MADA hiyo ilishajibiwa zamani.
Hivyo ni STALE news/KIPOLO cha habari ambacho si kitu cha muhimu KUKIRUDIA RUDIA.
Taifa lina mambo muhimu zaidi kuliko hizo fitina ndogo ndogo.
By the way,
Je umefikia wapi na huo MRADI wako uliouanzisha????
wewe jamaa umeishiwa hoja. Umebaki kufuatilia watu binafsi na maisha yao. Wewe endelea na manifesto yenu ya chagggae. Mliyoiita change. Ilikufa na kuwa ndembendembe. Nani aisyewajua nyie mawakala wa mafisadi.Kunukuliwa kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda akisema kuwa anapokuwa amesimama yeye basi anakuwa amesimama Mungu, kumeleta mfadhaiko miongoni mwa watu wenye akili timamu wanaojua nini inamaanishwa inaposemwa neno "Mungu". Lakini kauli hiyo pia imezifedhehesha dini zote zilizoko duniani.
Kila watu wakienda wanakoabudu wanaambiwa wanamuabudu "Mungu", halafu anasimama mtu na kusema akisimama yeye anakuwa amesimama Mungu, hili ni dharau kwa waabudu Mungu. Makonda anataka kusema yeye ni Mungu ama ni Mwakilishi wa Mungu?
Kama waislamu wanasema "hakuna apaswaye kuabudiwa ila ni Mungu pekee..." nao ndugu zao Wakristo wanasema "Mungu ni mwenye wivu.." inakuwaje wanakaa kimya mtu mwingine anapojifananisha na Mungu? Au viongozi wa dini nao wanaamini anaposimama Makonda anakuwa amesimama Mungu?
Ukimya wa viongozi wa dini juu ya kauli ya Makonda kuhusu Mungu unapalilia ile dhana kwamba viongozi wa dini Tanzania wana Shirika na viongozi wa Serikali wanaotokana na CCM. Maana kuna wakati watu waliuliza inakuwaje viongozi wa vyama vya upinzani huwa hawaalikwi kwenye yale matamasha ya "amani"? Kumbe inawezekana waandaji labda huwa wanaogopa kumuudhi Mungu kwa kuwaalika Mashetani.
Hata kama aliahidi kusaidia kujenga Makao Makuu ya BAKWATA ama alimtembelea Kadinali Pengo Ofisini kwake, ni lazima Makonda aonywe na akemewe hadharani kwa tendo lake la kujilinganisha na Mungu. Viongozi wa dini huo ukereketwa wenu wa CCM unawaondolea sifa ya kuwa viongozi wa dini kwani sifa mojawapo ya kuwa kiongozi wa dini ni kuzuia Mungu KUDHIHAKIWA!!
Faiza mh. POMBE ankuitaWeka "context" nzima maneno ya para moja kabla na para moja baada ya hilo neno ili tuuone "ukweli" wako.
Ukishindwa kufanya hivyo basi unakuwa ni ufataani tu.
Fata ushauri niliokupa juu huko.
Faiza mh. POMBE ankuita
Mambo ya Mungu mwachieni Mungu mwenyewe, Mungu kwa wakristo hapiganiwi wala hatetewi..... yeye ndio hutupigania sisi ndio maana alimtoa Mwanae atufie kwa ajili yetu.....Ndugu yangu hebu achana na kupinga kila kitu kwa kuwa u mpinzani tu.
Upinzani wa kweli ni kufanya mbadala wa hayo unayoona kuwa Makonda kakosea.
Ulitaka asikemee wala asifatilie watu walioshirikiana kwa yule mrithi wa halali kudhulumiwa? Au hujasikiliza vizuri kilichokuwa kinaendelea mpaka akasema hayo?
Ningefurahi zaidi ningeona upinzani unatumia wanasheria wake "wasomi" japo kuwapeleka mahakamani wale waliodhulumu na kuhakikisha haki ya mrithi inapatikana na wale wote walioshiriki kwenye hiyo dhuluma wanachukuliwa hatua badala ya kukaa hapa na kutafuta Makonda kasema nini uanze kumpinga.
Huo ni upunguani wa hali ya juu.
Action speaks louder than words.
Wao wanajua madhara yatakayompata maana Mungu hataniwi na hapa tunafanya makosa tunapolitaja jina lake kwa mambo kama haya...Kunukuliwa kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda akisema kuwa anapokuwa amesimama yeye basi anakuwa amesimama Mungu, kumeleta mfadhaiko miongoni mwa watu wenye akili timamu wanaojua nini inamaanishwa inaposemwa neno "Mungu". Lakini kauli hiyo pia imezifedhehesha dini zote zilizoko duniani.
Kila watu wakienda wanakoabudu wanaambiwa wanamuabudu "Mungu", halafu anasimama mtu na kusema akisimama yeye anakuwa amesimama Mungu, hili ni dharau kwa waabudu Mungu. Makonda anataka kusema yeye ni Mungu ama ni Mwakilishi wa Mungu?
Kama waislamu wanasema "hakuna apaswaye kuabudiwa ila ni Mungu pekee..." nao ndugu zao Wakristo wanasema "Mungu ni mwenye wivu.." inakuwaje wanakaa kimya mtu mwingine anapojifananisha na Mungu? Au viongozi wa dini nao wanaamini anaposimama Makonda anakuwa amesimama Mungu?
Ukimya wa viongozi wa dini juu ya kauli ya Makonda kuhusu Mungu unapalilia ile dhana kwamba viongozi wa dini Tanzania wana Shirika na viongozi wa Serikali wanaotokana na CCM. Maana kuna wakati watu waliuliza inakuwaje viongozi wa vyama vya upinzani huwa hawaalikwi kwenye yale matamasha ya "amani"? Kumbe inawezekana waandaji labda huwa wanaogopa kumuudhi Mungu kwa kuwaalika Mashetani.
Hata kama aliahidi kusaidia kujenga Makao Makuu ya BAKWATA ama alimtembelea Kadinali Pengo Ofisini kwake, ni lazima Makonda aonywe na akemewe hadharani kwa tendo lake la kujilinganisha na Mungu. Viongozi wa dini huo ukereketwa wenu wa CCM unawaondolea sifa ya kuwa viongozi wa dini kwani sifa mojawapo ya kuwa kiongozi wa dini ni kuzuia Mungu KUDHIHAKIWA!!
Mambo ya Mungu mwachieni Mungu mwenyewe, Mungu kwa wakristo hapiganiwi wala hatetewi..... yeye ndio hutupigania sisi ndio maana alimtoa Mwanae atufie kwa ajili yetu.....
Mwenyezi Mungu hahitaji kutetewa na binadamu. Hicho ulichokiandika kutaka akina Sheikh Zuberi au Muadhama Pengo wasimame kumtetea Mwenyezi eti kadhihakiwa ni upungufu wa uelewa juu ya ukuu wa mwenyezi Mungu.Kunukuliwa kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda akisema kuwa anapokuwa amesimama yeye basi anakuwa amesimama Mungu, kumeleta mfadhaiko miongoni mwa watu wenye akili timamu wanaojua nini inamaanishwa inaposemwa neno "Mungu". Lakini kauli hiyo pia imezifedhehesha dini zote zilizoko duniani.
Kila watu wakienda wanakoabudu wanaambiwa wanamuabudu "Mungu", halafu anasimama mtu na kusema akisimama yeye anakuwa amesimama Mungu, hili ni dharau kwa waabudu Mungu. Makonda anataka kusema yeye ni Mungu ama ni Mwakilishi wa Mungu?
Kama waislamu wanasema "hakuna apaswaye kuabudiwa ila ni Mungu pekee..." nao ndugu zao Wakristo wanasema "Mungu ni mwenye wivu.." inakuwaje wanakaa kimya mtu mwingine anapojifananisha na Mungu? Au viongozi wa dini nao wanaamini anaposimama Makonda anakuwa amesimama Mungu?
Ukimya wa viongozi wa dini juu ya kauli ya Makonda kuhusu Mungu unapalilia ile dhana kwamba viongozi wa dini Tanzania wana Shirika na viongozi wa Serikali wanaotokana na CCM. Maana kuna wakati watu waliuliza inakuwaje viongozi wa vyama vya upinzani huwa hawaalikwi kwenye yale matamasha ya "amani"? Kumbe inawezekana waandaji labda huwa wanaogopa kumuudhi Mungu kwa kuwaalika Mashetani.
Hata kama aliahidi kusaidia kujenga Makao Makuu ya BAKWATA ama alimtembelea Kadinali Pengo Ofisini kwake, ni lazima Makonda aonywe na akemewe hadharani kwa tendo lake la kujilinganisha na Mungu. Viongozi wa dini huo ukereketwa wenu wa CCM unawaondolea sifa ya kuwa viongozi wa dini kwani sifa mojawapo ya kuwa kiongozi wa dini ni kuzuia Mungu KUDHIHAKIWA!!
Wanachukua sadaka zetu, wanatuhimiza tutoe zaka na tuwe watu wema kwa kuwa Mungu anataka tuwe hivyo. Anakuja mtu anasema akisimama yeye anakuwa anasimama Mungu na viongozi wetu wote wa dini wako kimya. Kuna nini?