Viongozi wa dini kuongelea siasa ni kuwa wameacha kumsikiliza Mungu wanasikiliza watu

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,904
Kiongozi wa dini ni tofauti Na mwanasiasa kama mbunge diwani nk .Diwani Na mbunge kazii yao ya kila siku ni kuwasikiliza watu wakati kazi ya kiongozi wa dini ni kumsikiliza Mungu anasemaje ,Ukiona viongozi wa dini kutwa wako wanasikiliza wanasiasa ,watu kama akina mange kimambi nk wanasemaje na kuyakomalia hayo wanayoyasikia ujue nchi inakuwa haina viongozi wa dini tena.Viongozi wa dini rudini kwenye majengo yenu ya ibada mkamsikilize Mungu acheni kuzurura mitandaoni,magazetini,nk mkisikiliza watu wanasemaje hayo waachieni wanasiasa
 
Kiongozi wa dini ni tofauti Na mwanasiasa kama mbunge diwani nk .Diwani Na mbunge kazii yao ya kila siku ni kuwasikiliza watu wakati kazi ya kiongozi wa dini ni kumsikiliza Mungu anasemaje ,Ukiona viongozi wa dini kutwa wako wanasikiliza wanasiasa akina mange kimambi nk wanasemaje na kuyakomalia hayo wanayoyasikia ujue nchi inakuwa haina viongozi wa dini tena.Viongozi wa dini rudini kwenye majengo yenu ya ibada mkamsikilize Mungu acheni kuzurura mitandaoni,magazetini,nk mkisikiliza watu hayo waachieni wanasiasa


UJINGA KATIKA UBORA WA MJINGA...... HATA BIBLIA INAKEMEA UJINGA.....
 
Mkuu viongozi wa dini nao ni watu, hivyo hawawezi kuikwepa siasa maana ipo maishani mwao
 
Kiongozi wa dini ni tofauti Na mwanasiasa kama mbunge diwani nk .Diwani Na mbunge kazii yao ya kila siku ni kuwasikiliza watu wakati kazi ya kiongozi wa dini ni kumsikiliza Mungu anasemaje ,Ukiona viongozi wa dini kutwa wako wanasikiliza wanasiasa akina mange kimambi nk wanasemaje na kuyakomalia hayo wanayoyasikia ujue nchi inakuwa haina viongozi wa dini tena.Viongozi wa dini rudini kwenye majengo yenu ya ibada mkamsikilize Mungu acheni kuzurura mitandaoni,magazetini,nk mkisikiliza watu hayo waachieni wanasiasa
A TWIT AT YOUR BEST!
 
Kiongozi wa dini ni tofauti Na mwanasiasa kama mbunge diwani nk .Diwani Na mbunge kazii yao ya kila siku ni kuwasikiliza watu wakati kazi ya kiongozi wa dini ni kumsikiliza Mungu anasemaje ,Ukiona viongozi wa dini kutwa wako wanasikiliza wanasiasa akina mange kimambi nk wanasemaje na kuyakomalia hayo wanayoyasikia ujue nchi inakuwa haina viongozi wa dini tena.Viongozi wa dini rudini kwenye majengo yenu ya ibada mkamsikilize Mungu acheni kuzurura mitandaoni,magazetini,nk mkisikiliza watu hayo waachieni wanasiasa
Nakushauri muwaite hao maaskofu wote muwatie ndani.
Kwa sababu wamemsikiliza yule dada aliyewafanyia kampeni.
 
hii nchi inaenda kama gari bovu,japokuwa tuna misingi yetu Watanzania kuwa viongozi wa kidini wana nafasi kubwa katika jamii.
Kama ivo na wao wagome tu wakiwa wanataka kuombewa,yaani uyo bashite ndio akisema chochote kwa viongozi wa dini ndio ataonekana emptyset kwa sababu aliwakimbilia Mashekhe na Maaskofu na pia Wachungaji eti akalialia ila wamuombe.

 
Mkuu viongozi wa dini nao ni watu, hivyo hawawezi kuikwepa siasa maana ipo maishani mwao
MTU Mmoja amewahi sema hivi ukiona unaingia msikitini ukakuta watu wanasoma biblia Na ukaingia kanisani ukakuta watu wanasoma kurani na ukaenda kwenye ibada ukakuta kiongozi wa dini anahubiri siasa ujue hiyo nchi INA watu waliochanganyiwa kuanzia wao wenyewe hadi viongozi wao wa dini
 
Kiongozi wa dini ni tofauti Na mwanasiasa kama mbunge diwani nk .Diwani Na mbunge kazii yao ya kila siku ni kuwasikiliza watu wakati kazi ya kiongozi wa dini ni kumsikiliza Mungu anasemaje ,Ukiona viongozi wa dini kutwa wako wanasikiliza wanasiasa akina mange kimambi nk wanasemaje na kuyakomalia hayo wanayoyasikia ujue nchi inakuwa haina viongozi wa dini tena.Viongozi wa dini rudini kwenye majengo yenu ya ibada mkamsikilize Mungu acheni kuzurura mitandaoni,magazetini,nk mkisikiliza watu hayo waachieni wanasiasa
Eneo lolote lile ambalo makundi ya kijamii yanapatikana utambue kuwa eneo hilo limo ndani ya mipaka ya viongozi wa kidini, sababu kuu linalofanya liwe ndani ya mipaka yao kiutendaji ni kuwa eneo lina watu wanaoihitaji huduma, na uingozi wao.
Unapowarudisha ndani ya majengo ya Inada ili wakamsikilize Mungu basi ujue kuwa siyo kwamba umepotoka bali hujui kuhusu unachojaribu kukiongelea.
 
Viongozi wa dini nao ni raia kama raia wengine,wanahaki ya kutoa maoni kwa jambo lolote linaloendelea

Waache maaskofu waongee huenda wakasikilizwa
 
Kiongozi wa dini ni tofauti Na mwanasiasa kama mbunge diwani nk .Diwani Na mbunge kazii yao ya kila siku ni kuwasikiliza watu wakati kazi ya kiongozi wa dini ni kumsikiliza Mungu anasemaje ,Ukiona viongozi wa dini kutwa wako wanasikiliza wanasiasa akina mange kimambi nk wanasemaje na kuyakomalia hayo wanayoyasikia ujue nchi inakuwa haina viongozi wa dini tena.Viongozi wa dini rudini kwenye majengo yenu ya ibada mkamsikilize Mungu acheni kuzurura mitandaoni,magazetini,nk mkisikiliza watu hayo waachieni wanasiasa
We utakua mwislam tena mfuasi wa yule sheikh wa mkoa
 
Kuonana na Mungu si mchezo!! Mungu! Unadhani ni kama kenda kuonana na Magu Ikulu?
 
Back
Top Bottom