Viongozi wa CHADEMA nyie ni vioo vya jamii kwa nini hamtaki kufunga ndoa

My Friends

Shida inaonekana kuna watu wakishindwa na Hoja za maendeleo wanahamia kwenye Hoja binafsi mimi nakumbuka Mwinyi aliendelea kuoa wake wapya kila mwaka akiwa Rais nasikia hata wa sasa nae hivyo tusitafute ajali kwenye msiba tuwaache vijana wafanye kazi Mungu akiwajalia wataoa na kuolewa
 
My FriendsShida inaonekana kuna watu wakishindwa na Hoja za maendeleo wanahamia kwenye Hoja binafsi mimi nakumbuka Mwinyi aliendelea kuoa wake wapya kila mwaka akiwa Rais nasikia hata wa sasa nae hivyo tusitafute ajali kwenye msiba tuwaache vijana wafanye kazi Mungu akiwajalia wataoa na kuolewa
Mkuu, hii habari yako ili iwe Provable tupandikie ushahidi JF, sio sehemu ya porojo
 
Kuoa au kuolewa haidhihirishi uadilifu wa mtu. Kwanza ingekuwa amri yangu viongozi wasingeoa ili wawe na mda mzuri wa ku2mikia nchi. Ila zaidi ya yote ndoa ni jambo la binafsi saana na hao uliowataja hapo juu most of them bdo vijana let us wait wakifika 45 hawajaoa ndio tuwahoji.
Mheshimiwa hapo utakuwa umefungua mlango kwa watu kuharibu kabisa.
 
duh,rwakatale ni singo?then how does she do it ama ako na serengeti boy?
 
kuoa/kuolewa ni sheria ya Mungu, na Mungu ndio huonyesha mume/mke bora kwa wakati muafaka! Sasa inawezekana hao akina zitto muda wao muafaka haujafika. Pia kuoa/kuolewa si issue kivile maana kuna viongozi walioa lakini ni mafuska!
 
duh,rwakatale ni singo?then how does she do it ama ako na serengeti boy?

haaah haaah hata me najiuliza! Anapata wapi soul food? Unajua afadhal Kiongoz wa nchi kuwa bachelor bt kwa kiongoz wa dini tena zenye kuruhusu ndoa! Hapa pana utata
 
Hamna sheria inayosema Kiongozi bora sharti awe na mke/mume. So kuoa au kuolewa ni suala binafsi mnooooo na halina proportional na uadilifu
 
Hamna sheria inayosema Kiongozi bora sharti awe na mke/mume. So kuoa au kuolewa ni suala binafsi mnooooo na halina proportional na uadilifu
Kweli unachosema kuoa au kuolewa ni suala binafsi! Lakini unapotaka kutumikia wananchi kuna sifa zake ili uwe mfano kwa jamii ni muhumu kuwa na mke/mume, kiongozi ni kioo cha jamii
 
topic yako inafaida yoyote kweli kwenye tatizo linalo ikabili taifa kwa wakati huu?au umetoka usingizini?kweli mtaji wa sisiemu ni ujinga wa wanachama wao na wale wote wanao wasapoti.zito akifuga ndoa au kuoa mwananchi alieko kasulu ,nalampaka,tandahimba,na kwingineko hiyo ndoa itamsaidia nini???????tukomae kifikra watanzania ili taifa na jamii kwa ujumla inufaike na hoja na mchango tunaotoa.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
topic yako inafaida yoyote kweli kwenye tatizo linalo ikabili taifa kwa wakati huu?au umetoka usingizini?kweli mtaji wa sisiemu ni ujinga wa wanachama wao na wale wote wanao wasapoti.zito akifuga ndoa au kuoa mwananchi alieko kasulu ,nalampaka,tandahimba,na kwingineko hiyo ndoa itamsaidia nini???????tukomae kifikra watanzania ili taifa na jamii kwa ujumla inufaike na hoja na mchango tunaotoa.
Kwa hiyo wewe hata Shoga akikutawala kwako ni sawa tu? na mtoto wako wa kiume akiolewa hamna tatizo kwako! Kaka Mwalimu Nyerere alisema kiongozi ni kioo cha jamii
 
wewe ritz ulitaka kuolewa na nani apo!?..ebu acha kujivunga we sema tu,mi ntakusaidia kukuunganishia..inaonekana unatafuta bwana
 
wewe ritz ulitaka kuolewa na nani apo!?..ebu acha kujivunga we sema tu,mi ntakusaidia kukuunganishia..inaonekana unatafuta bwana
Niunganishe na Halima Mdee! utani-PM kama akikubali
 
Wana JF.

Kiongozi yoyote ni kioo cha jamii, hivi kwa nini hawa viongozi wetu wa Chadema hawajafunga ndoa, sio kama tunaingilia mambo binafsi ya mtu hapana lazima mbele ya jamii waonekane watu wa maadili ili Watanzania wapate kuamini zaidi kuona kweli hawa viongozi wana dhamira ya dhati kuwakomboa wananchi wa Tanzania.
Kwa uchache ngoja niwataje ili wajipange kabla ya uchanguzi ujao wawe wamefunga ndoa.

Willibrod Slaa
Zitto Kabwe
John Mnyika
Joseph Mbilinyi
wengine ni
Regia Mtema
Halima Mdee
Rose Kamili
Esther Matiko
wapo wengi kwa uchache nimewataja hawa naomba ushauri wangu muufanyie kazi
Kwa hiyo JK, Mwinyi ...etc...etc ndiyo waadilifu sana kwa vile wana wake wengi..??? vipi mapadre siyo kioo cha jamii...???
 
Back
Top Bottom