Wana JF.
Kiongozi yoyote ni kioo cha jamii, hivi kwa nini hawa viongozi wetu wa Chadema hawajafunga ndoa, sio kama tunaingilia mambo binafsi ya mtu hapana lazima mbele ya jamii waonekane watu wa maadili ili Watanzania wapate kuamini zaidi kuona kweli hawa viongozi wana dhamira ya dhati kuwakomboa wananchi wa Tanzania.
Kwa uchache ngoja niwataje ili wajipange kabla ya uchanguzi ujao wawe wamefunga ndoa.
Willibrod Slaa
Zitto Kabwe
John Mnyika
Joseph Mbilinyi
wengine ni
Regia Mtema
Halima Mdee
Rose Kamili
Esther Matiko
wapo wengi kwa uchache nimewataja hawa naomba ushauri wangu muufanyie kazi
Crap!! Has nothing to do with leadership. Rais wa Botswana ni one of the best leaders the country has had...hajaoa..