mwaichanga
Member
- Jan 5, 2017
- 16
- 13
Njaa mbaya sana . Waondoke kama wameona hakuwafai watakuwepo wengineHabari za uhakika ni Kuwa viongozi CHADEMA Ikungi wamejiuzulu kwa udikteta wa Tundu, wakati huo huo mwenyekiti wa CHADEMA Kwimba na aliyekuwa mgombea ubunge kabwaga manyanga sababu ya ukosefu wa demokrasia uchaguzi kanda ya ziwa.
Hali ni Mbaya.
View attachment 462312