Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,247
Wakuu mnakaribishwa kwenye mkutano Mkubwa sana wa Hadhara unaofanyika Wilayani Ikungi , Mkutano huo kabambe utahutubiwa na Vigogo wa Chadema, wakiwemo Freeman Mbowe na Tundu Lissu.
Baadhi ya matukio yatakayofanyika yameanza kuvujishwa , huku Tukio kubwa likiwa ni NGUO ZA TUNDU LISSU ALIZOVAA WAKATI WA SHAMBULIO LILE LA KINYAMA, zitakabidhiwa kwa Wazee zikiwa na damu vilevile, ambapo wazee hao watazifua na kuzivaa.
UPDATES
=========
Mapokezi yake mazito yatikisa Ikungi, Umati nikubwa mno! inatisha!