Violeti mzendakaya akimbia mjadala kisa kiingereza

- Sasa mkuu hii inahusiana nini na taifa au kuna something I am missing hapo? ha! ha! ha!Willie @ NYC, USA.
Bro wewe unapoteza muda wako bure, wengi hapa ni failures kwenye maisha and whatever they are doing basi kazi yao ni ku hate tu.
 
Madhara ya kulazimisha watu wasiokuwa na sifa za kusoma degree mnayaona kwa NAPE .....baada ya kufail form four ...asukumiwa Kivukoni kufanya diploma ...then akapelekwa kwenye vyuo vya INDIA kufanya BA........LAKINI JUZI ANGALIENI UCHAMBUZI WAKE WA BAJETI KWENYE PRESS RELEASE ulikuwa soo shallow ...huwezi kusema ni wa mtu mwenye hata an ordinary BA.......nadhani CCM are loosing a point ..kumwacha NAPE Ajibu kila kitu .....as if kila kitu ni propaganda...chama kina wasomi...kulikuwa na ubaya gani tamko la CCM juu ya bajeti ya upinzani ingetokewa na Mkuu wa Uchumi fedha ....najuwa yule ni mchumi wa kusomea na alikuwa BoT ....tena katibu mkuu ana MPA ya London..,Januaru amesoma mambo ya humanities na Peace mediation or something like that kwenye level ya masters..yet Tamko la chama kujibu hoja za CHADEMA na bajeti yao kivuli linakuwa shallow..hii inaonyesha...namna gani NAPE anakosa team work spirit.......
 
Bro wewe unapoteza muda wako bure, wengi hapa ni failures kwenye maisha and whatever they are doing basi kazi yao ni ku hate tu.
..........dont hate the playa, hate thegame dude
 
Bro wewe unapoteza muda wako bure, wengi hapa ni failures kwenye maisha and whatever they are doing basi kazi yao ni ku hate tu.
I wonder what the hell u r doing here if that is what u beleave. Umeshachukua namba yake ya simu?
 
Bro wewe unapoteza muda wako bure, wengi hapa ni failures kwenye maisha and whatever they are doing basi kazi yao ni ku hate tu.

Kwahiyo huyo kaka yako kubeba box Marekani ndio amewin maisha? watu wanaoishi kwa rate ya chini ya dola 1, huwa hawapatikani sehemu hizi. waliofeli maisha kama hauwajui ni hawa.

72207_1630755205240_1127403497_31793227_2798227_n.jpg
 
- Sijasikia waganda na Wakenya wakija kuhangaika na shule zetu zenye majina ya Academia kuwadanganya watu, lakini tizama watoto wadogo walivyojaa huko kwao, elimu yetu imejaa ubabaishaji sana ndio maana taifa letu limedumaa yao yanaendelea, vipi mkuu mbona mifano ipo wazi kwamba elimu yao sio sawa na yetu!, si uangalie maendeleo ya mataifa yetu tu!Willie @ NYC, USA.
wazaz weng wanaowapeleka watoto wao uganda,hope akil zao s nzur hawajui maana ya elmu,elmu n beyond kiingreza.ACHA ZAKO WEWE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom