GT
Kwanza kafuta contents zake zote za nyuma na kurecord Video kukipigia chapuo CCM .
Kilichompata inabaki kuwa siri maana asema kwa sasa anapumzika ah aha ha ha
GT
Kwanza kafuta contents zake zote za nyuma na kurecord Video kukipigia chapuo CCM .
Kilichompata inabaki kuwa siri maana asema kwa sasa anapumzika ah aha ha ha
Watu wanasaka mapeneAsante Kiongozi Yericko Nyerere nimeliona andiko lako kule FACEBOOK, ikishauri wadau kuchukua tahadhari hasa kipindi hiki, kwa kutomuamini mtu yeyote.
Hii shape sio mchezoWana harakati wa #NoReforms_NoElection hili la VIOLA MTETEZI kugeuka ghafla baada ya tetesi fulani, kwa ujumla limewakwaza na kuleta maoni mbalimbali !
Ni nimeona video clip uko Facebook kwenye ukurasa wake bila shaka akisema hayo baada ya kutoka safarini.
Mwisho ni haki yake kuchagua upande wa kisiasa, wala tusihukumu hiari yake !
Mtetezi wa wanaotiki
Ahaaaaaa !Countdown to October, msimu wa hela za bwerere, ubunifu unahitaji kumvutia mtoaji.
Jambo kubwa, ni lazima tukubali kwamba, wa-Tanzania si wa-Kenya na ndipo Wanaharakati au Wanasiasa wa nchi yetu watafakari upya namna ya kutimiza ndoto zao.Wale kina Agather wa Uganda na Mwangi wa Kenya ni mashujaa
No reform No Election
Anadai ni mtetezi wa wanaume, kupitia mitandao ya kijamiiKwani yeye ni nani?
Oktoba tunatick, hiyo nadhani ni slogan ya CCM.
Sivyo alivyokuwa anasema huyu( in post after post).99.245 Aufrufe · 4.383 Reaktionen | 🇹🇿 | Viola Mtetezi99.249 Aufrufe · 4.383 Reaktionen | 🇹🇿 | Viola Mtetezi
Anadai ni mtetezi wa wanaume, kupitia mitandao ya kijamii
😃😃😃Oktoba anatiki.Demu msenge uyu