Hili nalo ni neno la kutafakari !Huyu juzi akiwa amevaa t-shirt yenye maandishi ya NRNE alisema anatafutwa kwa udi na uvumba na watekaji kwa sababu ya msimamo wake.
Pengine hii u-turn ni gharama ya kununua uhuru, usalama na uhai wake ili wasi - Mdude
Aisee kulikoni
Mkumbushe deni linasomekakodi yako inatumika kununua umaaruf , ww unaona sw tu
Acha udwanzi, kwamba kila anayeiunga mkono CCM kapewa kibunda? Siasa za kipuuzi hizoAlikuwa anatafuta attention kwa chama ca ccm ameshaipata na hapo alikuwa kafungiwa sehem kapewa kibunda ...ndo namna ya kutafuta chambi kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu
Kashapata viewers
Violeti katokea from no
Where huyoooo
Kawa mtetezi 😄 mara Oct ana tiki
Ova
Nafikir unaelewa sema kwa vile umevaa uchama haya unajifanya huelew...haiwezekan mtu wik moja nyuma alikuwa anasimamia hiki..from knw whr tu abadilike bila sababu maalum....ni aidha kapewe kibunda au kuna shinikizo kubwa nyuma yake ...Acha udwanzi, kwamba kila anayeiunga mkono CCM kapewa kibunda? Siasa za kipuuzi hizo
Kwa kila tukio, kuna la kujifunza kwa mtu makini. Tazama tena video clip yake uenda utagundua kitu katika tukio hili !Nafikir unaelewa sema kwa vile umevaa uchama haya unajifanya huelew...haiwezekan mtu wik moja nyuma alikuwa anasimamia hiki..from knw whr tu abadilike bila sababu maalum....ni aidha kapewe kibunda au kuna shinikizo kubwa nyuma yake ...
Kwa uelewa wako unadhan kaja na hiz content z ccm kwa kuvutiwa na hicho chama?muda wote huo hivyo vitu ambayo vimemfanya ahamie huko vilikuwa wap hadi ije itokee tu withn short period of time....ni haya haya ya kununua tu wanasiasa kama kina msigwa ndo yanaendelea...natives wa ccm ss hiv wamekuwa wanaimba mapambio tu kama wewe...ila wa kuja ndo wanapewa shavu...we msifie kwa sasa hiv cz ana contents za kukisifia chama bt jua anakula kilichonona...nyie mnatupiwa tu masazoKwa kila tukio, kuna la kujifunza kwa mtu makini. Tazama tena video clip yake uenda utagundua kitu katika tukio hili !