PreGE2025 Viola Mtetezi, asema anatiki Oktoba uchaguzi mkuu 2025

PreGE2025 Viola Mtetezi, asema anatiki Oktoba uchaguzi mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Kashapata viewers
Violeti katokea from no
Where huyoooo
Kawa mtetezi 😄 mara Oct ana tiki

Ova
 
Viola Mtetezi, asema anatiki Oktoba uchaguzi mkuu 2025
Huyu juzi akiwa amevaa t-shirt yenye maandishi ya NRNE alisema anatafutwa kwa udi na uvumba na watekaji kwa sababu ya msimamo wake.

Pengine hii u-turn ni gharama ya kununua uhuru, usalama na uhai wake ili wasi - Mdude
 
Anaongea kiaina ya kiongozi aliye pita upinzani chama moja hivi...

Wanatoka sehemu moja?
 
Wana harakati wa #NoReforms_NoElection hili la VIOLA MTETEZI kugeuka ghafla baada ya tetesi fulani, kwa ujumla limewakwaza na kuleta maoni mbalimbali !

Ni nimeona video clip uko Facebook kwenye ukurasa wake bila shaka akisema hayo baada ya kutoka safarini.

Mwisho ni haki yake kuchagua upande wa kisiasa, wala tusihukumu hiari yake !


Viola si ni Bint wa Kike kabisa huyu au!? Ana impact gani mpk mumtungie uzi mrefu hivi?
 
hahahaaaaa MPUMBAVU huyu katema bungo kaogopa kuwa mdude namba mbili katiwa kidole kimoja tu kabadirika shenzi kabisa alikuwa anapima maji?
Apewe ahsante yake, kahamasisha na kuvutia wengi na Kama kawaida hata baada ya kugeuza msimamo, kawaacha wengi. Kuna wengi wamebaki na msimamo hata Kama yeye kabadili msimamo. Apewe ahsante yake.
 
Apewe ahsante yake, kahamasisha na kuvutia wengi na Kama kawaida hata baada ya kugeuza msimamo, kawaacha wengi. Kuna wengi wamebaki na msimamo hata Kama yeye kabadili msimamo. Apewe ahsante yake.
Mpe hiyo Asante wewe
 
Alikuwa anatafuta attention kwa chama ca ccm ameshaipata na hapo alikuwa kafungiwa sehem kapewa kibunda ...ndo namna ya kutafuta chambi kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu
Kabadilika Thailand duuh
 
Wana harakati wa #NoReforms_NoElection hili la VIOLA MTETEZI kugeuka ghafla baada ya tetesi fulani, kwa ujumla limewakwaza na kuleta maoni mbalimbali !

Ni nimeona video clip uko Facebook kwenye ukurasa wake bila shaka akisema hayo baada ya kutoka safarini.

Mwisho ni haki yake kuchagua upande wa kisiasa, wala tusihukumu hiari yake !


Aisee kulikoni
 
Wana harakati wa #NoReforms_NoElection hili la VIOLA MTETEZI kugeuka ghafla baada ya tetesi fulani, kwa ujumla limewakwaza na kuleta maoni mbalimbali !

Ni nimeona video clip uko Facebook kwenye ukurasa wake bila shaka akisema hayo baada ya kutoka safarini.

Mwisho ni haki yake kuchagua upande wa kisiasa, wala tusihukumu hiari yake !


ASha lipwa zake
1000214659.jpg
 
Huko CHADEMA huwa hakuna intelijensia ya kuona vitu vya kipuuzi puuzi kama hivi wanavyo vipa kiki bila kujua??, kuna dada mwingine naona wana mfront ila hata kabala ya mwezi wa saba kuisha atakuwa kaisha waachia manyoya???!!
kodi yako inatumika kununua umaaruf , ww unaona sw tu
 
Back
Top Bottom