Ndicho nachoweza kusema, machozi ya Watanzania kuhusu kero mbalimbali kwa sasa hayana mtu wa kuyafuta. Sio watawala, sio wapinzani, sio taasisi za kidini Wala yeyote yule. Watanzania tunapigwa bakora za ukosefu wa maji ya uhakika,kupanda kwa gharama za maisha(sukari) kupanda kwa bei za vifurushi...
Humu JF uko ushahidi wa video ya Makonda akimkoromea Chongolo , wakati huo Chongolo akiwa na cheo cha chini na Makonda akiwa RC au DC.
Sasa angalia sarakasi zake za sasa , Hivi huyu jamaa anadhani Watanzania ni wajinga kiasi gani?
Kupanda kwa nauli za daladala na mabasi ya mikoani kungeendana na maboresho ya huduma husika.
Mathalani miundombinu ya stendi, mfano sehemu za kupumzika abiria, muda wa kuondoka mwanzo wa safari hadi mwisho wa safari, ubora wa vyombo vya usafiri na unadhifu wa watoa huduma nakadhalika na...
• Siku ukikamatwa kwa kosa la kuzurura mjini hapo mtetezi wako ni Mungu na fedha tu, vinginevyo utapewa hata kesi ya mauaji.
• Siku ukishikwa na ugonjwa barabara hapo mtetezi wako ni Mungu na pesa tu.
• Siku ukifukuzwa kazi ndipo utajua kuwa mtetezi wako ni pesa na Mungu tu.
• Siku...
Tafadhali naomba niwekewe hapa Jedwali la matokeo ya Mechi za Kwanza za Makundi ya Simba na Yanga ili nijue nani ni Mwanaume hasa na nani ni Mwanamke ( wa Kikeni ) hasa katika Mchezo wa Mpira wa Miguu.
Kuna jambo sijafurahishwa kama Mwananchi na Mlipa Kodi...; Jana Rais ni kama ametoa excuse ya hii Crisis Kwamba hakuna Mvua na wanafanya maintenance - Hapo ni kama anawatetea watendaji na kuwapa go-ahead ya muendelezo wa kuwa mediocre....
Ningeona la maana kama angetoa maelezo kwamba hii hali...
Ni kipindi chake ndo machinga(wanyonge) walikuwa wengi na wanaongezeka daily na hakuna mpango mkakati wowote wa kuwapunguza kwa kupanua sector binafsi mana serikali ilikataa kabisa kuajiri kisa Barbara.
Sector binafsi ilikufa kabisa au iikuwa inapumulia mashine kiasi ambacho wote waliokuwa...
Nimeona Misungwi mkoani Mwanza na Geita Vijijini mkoani Geita!
Akiwa amebeba mizigo, anapigwa!
Akiwa analimishwa, anapigwa!
Akiwa anakokota mkokoteni, bado anapigwa!
Ni kama vile "lugha" pekee wanayoijua ni kipigo!
Utakuta wengine migongoni mwao kuna michubuko iliyotokana na ama kubebeshwa...
SAKATA la kuuza Bandari kwa Mwarabu limezidi kuwagawa watanzania hapo Mbunge Joseph Msukuma amewashambulia watanzania wanaopiga kuuzwa kwa bandari kwa mwarabu.
==============
Mimi ni mmmoja wa Wabunge niliyeenda Dubai, kuona uwekezaji uliopo Dubai. Wala sijifichi. Nilienda kwenye ziara ya...
Thamani ya kikosi, ubora na ukubwa wa Wydad ilitegemewa Wydad wangepata ushindi mnono wa zaidi ya goli tatu lakini haikuwa hivyo.
Well done kwa Simba hakika wameonesha uwezo mbele ya Wydad AC bingwa mtetezi wa cafcl.
CAF kuichagua Simba kutoka ukanda wa SADC kuwemo kwenye michuano ya Super...
Nimemaliza kuweka kifurushi, nikaunga data, with in a sec napokea sms.
Umetumia takribani 75% ya kifurushi chako. Tafadhali piga *102# kuangalia salio la kifurushi chako. Asante!
Je tutafika!
Naombeni namba za Elon pls
Bado nina Imani kubwa na Chadema. Toa neno Mh. Mbowe katika hizi vurugu za "kudanganywa "mishahara, Kingai (mbambikaji wa kesi kupanda cheo) and many other hot issues!
Niseme wazi hili jambo wabongo tumetelekezwa hatuna mtu wa kukemea unyama unaofanywa juu yetu.
Tigo wamebadilisha vifurushi kwa wiki elfu tano inakuwa gb 2.7 badala ya gb 3 na watu wanaotakiwa kututetea wamenyamaza kabisa.
Dah nawaza nakosa majibu
Idara ya Operesheni za Amani imesema mlinda amani wa Zimbabwe atapokea Tuzo ya Umoja wa Mataifa ya Mtetezi wa Jinsia wa Kijeshi ya mwaka 2021.
Mwangalizi wa Kijeshi Meja Winnet Zharare mwenye umri wa miaka 39, alifanyakazi Bentiu, Sudan Kusini hadi mwaka 2022 na atapokea tuzo hiyo kutoka kwa...
Ndani ya nafsi ya Kila mwanaume zimewekwa taarifa kuhusu mwanamke anae tamanisha, hamasisha na kuvutia kufanya nae sex.
Kuna mwanamke ukimuangalia tu unajua yupo vizuri kitandani.
Mtazame Aunty Ezekiel
Jack Pemba alifaidi Sana.
# Her eyes, the way she talk, the way she look, her rudeness...
Poleni na harakati za sherehe za mwisho wa mwaka, hongera kwa kufika hatua hii angalau uko hai pamoja na majanga yote yanayopita kuisumbua dunia.
Mada hii naileta nikiwa na rekodi mbalimbali ingawa siyo kwa uhakika wa tarehe na mahala,mimi ni mfuatiliaji mzuri wa vyombo vya habari ambako ndio...
Alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda alihakikisha akina mama hawapotezi haki zao.
Aliwatetea akina mama kwa kila namna hasa waliotelekezwa na kunyanyaswa na waume zao. Waliodhurumiwa mali zao na kuporwa.
Alikusanya maelfu ya akina mama na kusikiliza kero zao na kuzitatua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.