Vinywaji vinavyochochea kufanya mapenzi!!

Vinywaji vinavyochochea kufanya mapenzi!!

Pombe ndio mama wa maasi yote ukishakunywa chochote waweza fanya

Mm mchuzi wa pweza ndio inapandisha mzuka
 
kwa dawa asilia kunywa mkuyati au mfunyung`ula, pombe hakuna kama konyagi na redbull ila angalizo,,usizidishe kipimo cha redbull ni moko tu.
 
Mafirauni bwana........!!! Hii mada ilishagazungumzwa siku nyingi sana humu... Hebu fukua fukua utaipata... Then twenzetuni juu la siasa jule kwanza tukapasue kichwa

Hahahahahaha.... Wamekusoma mdau!
 
kuna mwenzio akinywa konyagi anatamani kudandiwa,..hatareee!!!
 
Olubisiiii.....embege..... Ni nooma
 
Back
Top Bottom