excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
Last edited by a moderator:
wazinzi utawajua tu
jaribu kwanza kunywa supershafti! haina nguvu kiviiile!!
Habari zenu wana-MMU,.
Mimi binafsi ninapotumia Konyagi na kuchanganya na soda ya Sprite hamu ya kufanya mapenzi huwa inanijia kwa kasi sana,.
Je wewe ni kinywaji gani hasa unapokitumia kinakupelekea kupata hamu ya kufanya mapenzi;..
Huko nenda mwenyewe maana ni full stress kule.Mafirauni bwana........!!! Hii mada ilishagazungumzwa siku nyingi sana humu... Hebu fukua fukua utaipata... Then twenzetuni juu la siasa jule kwanza tukapasue kichwa
They always thinking about sex....hawana jipya
keirewiiiiiiii utamuua mwensio
Mimi mbege kidogo tu nataka kumrukia mama muhudumu
Mimi mbege kidogo tu nataka kumrukia mama muhudumu