Vinywaji vinavyochochea kufanya mapenzi!!

Vinywaji vinavyochochea kufanya mapenzi!!

we mzee vipi unaanza kutoa siri ya dawa yangu eee ila umesahau vitu hapo pilipili iwe pilipili kichaa nusu kilo, tango mwitu, na mgagani fungu mbili, ongezea kama kuna kitu nimesahau maana uzee nao kazi kwelikweli

bila kusahau na maji ya betri robo lita mkuu
 
mimi nikinywa maji tu,suruali inakuwa hainitoshi tena.
Nalog off
 
Kila mtu Ana sumu yake, kuna shosti mmoja alienda kunywa na rafiki wa kawaida wa kiume Yule jamaa alienda na wine flani anajua alikoitoa ila baadae ilifahamika kama kinywaji cha kusababisha hamu. Yule dada alikunywa na akaondoka akamwacha jamaa pale, alidhani mrembo atalewa ajibebee lakini wapi.
 
Back
Top Bottom