Blue G
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 5,339
- 3,670
haaaaaaaaaahaaaaaaaahaaaaaa nimecheka bila kujitambua hivi na bagia ni kinywaji au?
mimi bagia!!lol
mimi bagia!!lol
Usingechangia hii thread ningekunywa sumu.
Ha ha ha nimecheka sana Evelyn Salt. Usiniulize kwa nini.
Hakyanani tena... labda sio Evelyn Salt huyu..
chukua ukwaju kilo moja loweka kwenye maji lita tatu then tengemeza juice kunywa glass mbili kabla ya tendo utaona kitu inaweza nyanyua hata jiwe la kilo mbili, ukwaju si mchezo bwana nb kunywa saa moja kabla ya tendo.
Heeer we charminglady wewe! Umesema?
Changanya maji ya mti wa Muarobaini, weka pili pili kidogo halafu changanya na vitunguu swaum vilivyo pondwapondwa. Then viweke vikae siku kama 3 hivi. Mwite mpenzi wako akae karibu, then kunywa lita 3 za juice hiyo utaona nguvu yake.
Mi pia ningekunywa ili tufe wote.....
Huyo babu anazeeka vibaya wala sio kweli.....
Habari zenu wana-MMU,.
Mimi binafsi ninapotumia Konyagi na kuchanganya na soda ya Sprite hamu ya kufanya mapenzi huwa inanijia kwa kasi sana,.
Je wewe ni kinywaji gani hasa unapokitumia kinakupelekea kupata hamu ya kufanya mapenzi;..
Habari zenu wana-MMU,.
Mimi binafsi ninapotumia Konyagi na kuchanganya na soda ya Sprite hamu ya kufanya mapenzi huwa inanijia kwa kasi sana,.
Je wewe ni kinywaji gani hasa unapokitumia kinakupelekea kupata hamu ya kufanya mapenzi;..