ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Picha: Vinicius Junior
Picha: Ducapel Moloko
Hawa wachezaji wote ni mawinga hatari na Wanambio sana, wanafunga magoli, vijana wadigo na sio wazee kama kina chama na saido.
Sasa nataka muangalie je kati ya Hawa mawinga wawili , nani ni mkali kishinda mwenzie, japokuwa mmoja anacheza ulaya na mwingine anacheza Africa.