Ving'amuzi vya Continental kumbe hovyo kabisa!!

Ving'amuzi vya Continental kumbe hovyo kabisa!!

Hivi hayo madecoder yenu yanaonyeshana vitu gani....naona watu mnaumia sana na vitu ambavyo mnaweza kusolve ...nunua tv yenye king'amuzi...kama channel zilizopo hazitoshi nunua dish...eurostar
 
unalipia wanakutumia sms ya kupokea fedha na wanakupa risiti. Unakaa masaa 2 chaneli hawajafungua Alafu unatumiwa sms kwamba kifurushi chako kimekwisha!

Huu si uwizi wa mchana kweupe jamani. Magufuli upowapi Wananchi tunaibiwa na haya makampuni ya vingamuzi.
 
Back
Top Bottom