Hakuna anayesema hii kuwa ni tetesi, hoja hapa ni kwa faida ya ambao hawakuweza kuhudhuria na wanapenda kuona msanii wa kitanzania anafaidika na jasho lake na hanyonywi kama ilivyo sasa, nadhani ungeweza kuweka picha na kueleza ni wasanii gani wengine waliopanda jukwaaniSio tetesi: ni kweli vinega walifunika
news + photo = 😛oa
Akina Tomaso wanasubiri pictures
vinega mikoani hawaji?? Tunawasubiri chuga town tuscan ma virus kisha tuwadelete
Reference ni nini? Kumbukeni darasani huwa tunafundishwa na mwalimu mmoja lakini anapatikana wa kwanza hadi wa mwisho kwenye somo husika. Hivyo wewe kuona imefunika au la, inategemea wewe wa viwango ganiSio tetesi: ni kweli vinega walifunika
kumbe man upo chuga.....niajee.....
kumbe man upo chuga.....niajee.....
Hakuna anayesema hii kuwa ni tetesi, hoja hapa ni kwa faida ya ambao hawakuweza kuhudhuria na wanapenda kuona msanii wa kitanzania anafaidika na jasho lake na hanyonywi kama ilivyo sasa, nadhani ungeweza kuweka picha na kueleza ni wasanii gani wengine waliopanda jukwaani
Chuga kwetu hata huwezi thubutu mbele ya watu kutamka nineno zito mbaya ulizia wakupe tafsili!kumbe man upo chuga.....niajee.....