de'levis
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,222
- 1,567
pale st.thomasi mwalimu alilazwa kwenye wodi la kawaida kabisa.....daktari wake prof mwakyusa hakuruhusiwa kumgusa kabisa wala kufatilia tiba aliyokuwa anapata toka kwa madaktari waliowekwa na mkapa.....alipokuja hosp mara nyingi alikuwa anakuja kama msalimiaji.........