Vincent Nyerere ampa Mkapa vidonge stahiki

pale st.thomasi mwalimu alilazwa kwenye wodi la kawaida kabisa.....daktari wake prof mwakyusa hakuruhusiwa kumgusa kabisa wala kufatilia tiba aliyokuwa anapata toka kwa madaktari waliowekwa na mkapa.....alipokuja hosp mara nyingi alikuwa anakuja kama msalimiaji.........
 
Duh.....ndio maana walimzika na zege kubwa namna ile ili tusije kudai a new post mortem kwa kuwa hatutoweza kumfukua
 
Ni kweli mkapa alipanga njama za kumuua mwalimu Nyerere.....
1995 Nyerere aliingizwa mkenge na wajanja kuwa Mkapa anafaa wakati chaguo lake lilikuwa Salimu. Lakini JKN alikuja kugundua Mkapa kawa siye yule aliyembeba. Baada ya Mkapa kuingia tu Ikulu akaanza kuuza mashirika ya umma kwa mgongo wa ubinafsishaji kwa rafiki zake hasa wa SA akijua JKN hawezi mfanya lolote. Nyerere alikasirika sana akamwambia kwanini lakini? Mkapa akamjibu hatuwezi kukwepa impact ya globalization. Well but don't touch (MY) NBC. Baada ya Mkapa kuona mchonga kakasirika wenzake ABSA wakamshauri aigawe NBC, by 1997 zikawa NBC 3. Nyerere aliijua hiyo mbinu ila hakuwa na uwezo tena wa kuzuia akawa anasema pembeni kama kunung'unika vile, wakaona isiwe tabu ndipo walipoanza kutafuta alternatives kwa kushirikiana na TISS. Baada ya kifo chake 1999 haukupita hata mwaka NBC(1997) ikauzwa SA. Watu wana connect dots. Kama mtakumbuka Mwakyusa aliyekuwa dokta wake siku chache kabla ya kifo familia ya Nyerere ilimpiga marufuku kwenda hosptali alikolazwa London.
 
Hivi kuna gazeti/magazeti 'yamethubutu' kuandika habari hii?

Inawezekana ukiyapata ya leo yatakuwa yameweka hadharani! Radio free wenyewe leo walikuwa wanaipotezea kishenzi hiyo habari. Yaani Tom Chilala leo kanikera sana!
 
Maneno ya mwalimu wakati anakwenda kutibiwa alisema anakwenda kufanyiwa uchunguzi tu wa afya yangu kwa maana hiyo hakuwa anaumwa kivile tukashangaa inarudi maiti yake baba huyu Mkapa naroho yake ya kishetani hakutangaza kifo cha mwalimu mapema iliafanye maandalizi alikuwa anajua anachokifanya leo yako wapi Benny.
 
He deserves, Mkapa ana kiburi sana, mimi nafikiri badala ya kumpiga stop Vincent mshaurini Mkapa akapumzike aache vijana kina Mwigulu, Nape, Vicent, Heche waicheze ngoma ya siasa, yeye akacheze na vitukuu asije kufia kwenye vibweta, kwani Mzee Mwinyi sio mtu mbona hana tatizo anajilia bata tu na wajukuu zake.

Hizi ni siasa kama mtu akikuanza mmalize usipofanya hivyo atakumaliza wewe. Igunga CCM walitumia mbinu chafu kuliko, mtu anamwagiwa tindikali ili atumike kutafuta sympathy, makada wa CDM waliuwawa Chadema walinyamaza sasa wameanza kujibu mapigo mnasema apigwe stop I can't believe. CCM hawa si wa kuhurumia ukipata nafasi gonga kichwa nyoka huwa hafi kwa kumpiga mkia.

Mwinyi hana mpya akiitwa ataanza nilipigwa kibao miyeee
 
Mmmmmmh hii kali mbona!!!!!!!!!!! yetu masikio, Mkapa asubiri siku ya kufunga kampeni za Arumeru aje atupe majibu kamili. Amefanyaje fanyaje mambo haya mpaka yakawa hivi???????????????
 
Mshaurini Vicent Nyerere aachane na hizo siasa. Hoja kuu ambayo alitakiwa kuisimamia ni kwamba Vicent Nyerere hajawahi ku-claim mahali popote pale kwamba yeye ni mtoto wa Marehemu Mwalimu Nyerere. Kwa hiyo, claim ya Mkapa ilikuwa baseless na haiwezi ku-hold maji na hizo ndio siasa za maji taka, watu wanaacha hoja halafu wanakijita kwenye kuzua vijambo na vijimambo.

Discussion za chanzo cha kifo cha Mwalimu Nyerere kwa sasa haziwezi kuwasaidia CHADEMA ili washinde huko Arumeru Mashariki. Mjadala huo kwa sasa hauna msaada wowote kwa wananchi wa Arumeru ambao wana matatizo ya Ardhi na Maji, pamoja kukosekana kwa ajira kwa vijana.

Focus ya Kampeni ya CHADEMA iwe ni kwenye kero za wananchi wa Arumeru. Ili kumgonga vilivyo Mkapa na Chama chake, matatizo ya maji na ardhi hayajaanza leo wala juzi, yapo kwa miaka mingi sasa. Je, Mkapa akiwa Rais ina maana hakuyajua hayo matatizo, kama aliyajua, kwanini hakuyashughulikia? Kikwete yuko madarakani mwaka wa 7 sasa, je hajapelekewa hayo matatizo au hajui hayo matatizo? Je, wananchi watakuwaje na imani kwamba Mkapa akienda kumwambia Kikwete matatizo ya maji na adhi atayatatua na ilihali amekuwa madarakani kwa miaka 7 na matatizo yako pale pale?

Iwapo Mzee Sumari (RIP) alishindwa kusaidia kutatua matatizo ya Arumeru Mashariki akiwa Naibu Waziri wa Fedha (sehemu ya serikali ya chama tawala), je leo hii mwanae ndio ataweza kuyatatua? CCM kimebaki kuwa ni chama cha kuweka ahadi hewa bila kutimiza. Hapo ndio CHADEMA inatakiwa kusimamia kwa kuwa ndo ukweli wenyewe na wananchi wanajionea. Wakumbusheni kwamba hata Igunga ambako CCM walishinda uchaguzi mdogo, zile ahadi zote za CCM zilizotolewa kwa wana Igunga ikiwemo ya kujengewa daraja hazijatimizwa hata moja!
Hizo ulizotoa ni pointi tupu, CCM Wameru waambiwe kuwa haiwezi kuwasaidia chochote kwa sasa, hawana jipya wamefulia!!!!!Lakini pamoja na hayo ili kuweza kumnyamazisha huyo Raisi Mstaafu Mkapa ni bora alivyo jieleza na kumuweka kwenye kona ili aje tena Arumeru kujibu tuhuma za kifo cha Marehemu Mwl JK Nyerere!!!! Hiyo imemwagwa sumu Arumeru kuisafisha CCM ni kazi!!!!!!

 
Huyu Vincent anaonekana amekosa malezi mazuri...Kuna vitu vya kuhoji, but hili la kifu cha nyerere lilikuwa lipo wazi kabisa!
Kwa hili ametokota!
 
Huyu Mzee huyu!

Laana itamuandama mpaka mwisho wa maisha yake. By the way david Homeli Mwakyusa yuko wapi kwa sasa?
 
Kansa aliyopandikiziwa JKN aliipata through toilet paper south africa! walio-fanya kazi hiyo ni TISS !!! baada ya kupata go ahead ya watu wazito na mmoja wao akiwa ni mkapa, they tried several time to poisson him through food, they failed!....
 
Mkapa usimungunye maneno!
Katiza kampeni nenda MAHAKAMANI!
Mahakama pekee ndiyo itakayo kusafisha, zaidi ya hilo VN Kasema kweli!

Mahakama haiwezi kubadili ukweli,na ingekuwa mahaka ndio chombo cha kupimia haki na ukweli ingekuwa safi sana.No matter mahakaitasema nini kuna kundi lawatu wataamini wanachoamini hususaniukizingatia mahakama zetu zinapelekeshwa
 
Huyu Vincent anaonekana amekosa malezi mazuri...Kuna vitu vya kuhoji, but hili la kifu cha nyerere lilikuwa lipo wazi kabisa!
Kwa hili ametokota!
Kwa hiyo unatuhakikishia kuwa japo nikweli ila hapo palikuwa siyo mahalipake kulitoa??:hand::A S 13:
 
baada ya kifo cha mwalimu sherehe kubwa ilifanyika South africa na watu walijipongeza...hili limefanyka hata juzi kwa mwakyembe watu walifanya sherehe kubwa mwaka jana mwezi wa 10 mwishoni....
 
Nikikumbuka october 99 jinsi ambavyo kila nyumba ilikuwa kilioni kwa msiba wa mwalimu halafu kumbe mpangaji wa msiba ule ni yuleyule aliyekuwa anatuongoza kwenye mazishi nakosa la kusema.Mbaya zaidi anaendelea kuishi kwa pension inayotukamua fedha zetu huku akisimama hadharani na kutukejeli?
 
Back
Top Bottom