democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
mkaa hapa sasa kazi anayo.
Wati goozi araundi, kamsi baki araundi...
Ni nani alikuwa waziri wa afya chini ya utawala wa Kikwete?
Nani huyo jamani anayesimamia uchimbaji wa Tanzanite Arusha?Itabidi tukumbushane ili tuwekane sawa.
Naungana na ndg Keil, Vicent kwa kombora hilo kwa BWM, yatosha. ....najua ilivyomchukiza kwa kuambiwa si mtoto wa baba wa taifa,....BWN ajue hata Nkanaga ni wa hayati JKN(RIP) Na tumeshajua ukweli....
alikuwa balozi wetu SA..ni mwanahisa wa makampuni yote ya makaburu hapa nchini mpogoro huyu sijui mndamba almaaruuf AMI MPUNGWENani huyo jamani anayesimamia uchimbaji wa Tanzanite Arusha?
Hawa watu ni wabaya sana kuliko mnavyofikiri, ni vizuri wawekwe wazi wa Tz wawafahamu, Mungu atawaumbua hapahapa duniani kwa matendo yao!