Vimbwanga na vituko vya boss wetu

Vimbwanga na vituko vya boss wetu

Serikalini hakuna huo upumbavu, yaani msimamizi wa kazi na chawa wake unawashiana nao moto na fakini za kufa mtu.

Usirushe ngumi tu, hapa hata majaliwa au mpango akirusha kofi anatumbuliwa yeye.
Hii akili ndo ilifanya bro wangu agome kwenda kwenye mradi mmoja funded na USAID kwa miaka mitano kisa hataki stress private sector ,akaamua kunikonnect na rafiki yake mzee wa kujilipua nikamrecommend akapata ile kazi. Saizi bro anajuuuta na ye ndo kajaa stress wakati mwenzake bata daily. Hata afanye kazi miaka 100 hamfikii mwenzake
 
Mwanaume unaandika bwanaa wee

Mwanaume unaandika boss wetu

Hilo neno boss wetu wanatajaga kina dada huwezi ongea na simu kwenye usafiri wa umma useme boss wetu huko mkoa nilipo wataomba no zako
Boss wetu.-Mkuu wetu wa kazi.
Boss wetu- aliyetuajiri
Kama uanaume unaweza kupotea kwa kuandika eh bwana wee basi waandishi maarufu akina Semzaba, akina Shafi A Shafi, akina Shigongo wasingeitwa wanaume kwa uandishi wao wa stori za ndani.
 
Acha kuishi kwa mitazamo
Huyu pia aonekana hata vitabu vya hadithi za mapenzi vilivyoandikwa na wa kiume hajasoma.kwa mfano
Humo mwandishi mwanaume hucreate uhalisia wa mhusika mwanamke akitoa miguno ya kimahaba kwa kwa lugha ya mke aliyehamasika vyema kingono kitandani.
Je tumtoe huyu uumeni?
 
Boss wangu alikuwa na chawa wake yaani mkiwa mnafanya kazi si kuna ile mood inakata ya kufanya kazi unapumzika basi chawa anapiga simu kwa boss then boss anapiga kwa hr kuwa huyo alie pumzika mwambie haludi nyumbani akapumzike

Akija sasa unaaza kuchambwa mpaka mda wa kazi unaisha ndio unaachiwa huru
Duh poleni mkuu
 
Mi kichwa panzi sipend kupelekeshwa , ndo maan nimejiajiri mambo ya maboss sitaki uo upuuzi, nilikuwa nafanya kazi sehem msimamiz alikuwa na matusi mbona alifurahi, siku iyo kaandaa kila kitu anasubir mfanyakazi wake mi nkamwambia fanya mwite mama ako mje msaidiane,
We mbabe sana
 
Boss wetu ni kiongozi wa dini, yeye naweza kumfanisha na late Magufuli hashauriki, hambiwi kitu , watu wote ni wajinga kwake. Mkali asiye elezeka
Binafsi nashukuru kukutana nae maana hapo kabla mimi na dini ilikua damu damu ila baada ya kukutana na huyu mheshimiwa sana kiongozi wa kanisa ndio nikajua dini ninini.
Uzuri alishawahi kutuambia hakuna pepo wala jehenamu wala kiyama.
Duh
 
ulitaka aandike vipi ndiyo aonekane yeye kidume?
Kiswahili hakina neno mojamoja la kuwasilisha ujumbe mrefu. Eg boss
Ningewez kuandika hivi.
Mkuu wetu wa kazi.
Nb.
Pia ningeandika mwaajiri wetu lakini inaleta maana Zaid nikiandika boss. Au sio br
 
Back
Top Bottom