Basima Ogenze
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 786
- 885
Sio lazima ufanye kazi private ndio uwe na bosi, sehemu yoyote uliyopo lazima utakuwa na bosiNdio maana Mimi siwezi fanya kazi private, Bora nijiajiri watu kama Hao nawatoa ngeo ,..
Sio lazima ufanye kazi private ndio uwe na bosi, sehemu yoyote uliyopo lazima utakuwa na bosiNdio maana Mimi siwezi fanya kazi private, Bora nijiajiri watu kama Hao nawatoa ngeo ,..
Hahahhaa aiseeKuna siku niliandika msg huyu Boss wangu ni khanithi mshahara mpaka leo hajatoa, sasa wakat nasend nikajikuta nimemtumia Boss badala ya Wife, alaf tulikuwa kwenye kikao pale sub scania, najitahid kuizuia waapi naskia imefika kwake nae akaifungua akaisoma akashusha miwani kisha akatabasamu. Kikao kikaendelea lakini wakati huo mimi jasho linatoka na ndani unyunyu upo wa kutosha tu. Baada ya kikao kwisha ndio Boss akaniuliza kwa hiyo nishakuwa Khanith* sio? Ikabidi tu nimjibu ndio.
Alikuwa sahihi...😂😂Boss mmoja aliwahi kutuambia kama hamjafunzwa na mama zetu msitupe matatizo sisi hapa sio sehem ya mafunzo...kuangalia nyuma kuna bi mkubwa anakaribia 55 amekaa. Niliona huruma sana.
Maboss badilikeni
Safi sanaSiku aliyekua boss wangu kunitamkia i will terminate you, mzee baba sikwenda tena job, yaani dizaini nikawa nimejiterminate mwenyewe automatic, basi simu zilimiminika nikiwa nyumbani nawala siku pick ndio ikawa kimoja hadi leo.
Asemeje sasaMwanaume unaandika bwanaa wee
Mwanaume unaandika boss wetu
Hilo neno boss wetu wanatajaga kina dada huwezi ongea na simu kwenye usafiri wa umma useme boss wetu huko mkoa nilipo wataomba no zako
Nimesoma na comment yako nyingine yaani utafikiri tulikuwa ofisi moja. Yaani mtu unaamka asubuhi unawaza kazini kutakuwaje, na msemo wa kuwaka moto ndio ulikuwa maarufu.Dah umenikumbusha mbaliiiii![]()
Kwanini Rai wa nchi za nje walikuwa wana mpenda Magufuli, sijui walikuwa wana mpendwa niniMbona anafanana na boss wangu alikuwa ana vituko nyie siku akufurahi mtapata raha siku akinuna uwiii atachokonoa vitu ,atachunguza hadi maisha yako binafsi halaf anaanza kukupangia maisha yako binafsi uishu anavyopenda yeye alikuwa na vituko msomali yule
Kipindi cha magufuli anatulazimisha tumpigie kura maguful![]()
ss nilikua na rafiki yangu pembeni alikua kakaa akitazama ndipo muhindi akaja.
) 

jamaa akatoka nduki Dah nilicheka sana aiseee 
alafu ikawaje mzeeKuna siku niliandika msg huyu Boss wangu ni khanithi mshahara mpaka leo hajatoa, sasa wakat nasend nikajikuta nimemtumia Boss badala ya Wife, alaf tulikuwa kwenye kikao pale sub scania, najitahid kuizuia waapi naskia imefika kwake nae akaifungua akaisoma akashusha miwani kisha akatabasamu. Kikao kikaendelea lakini wakati huo mimi jasho linatoka na ndani unyunyu upo wa kutosha tu. Baada ya kikao kwisha ndio Boss akaniuliza kwa hiyo nishakuwa Khanith* sio? Ikabidi tu nimjibu ndio.
Na ndiomaana wafanyakazi wa private wanaendelea na kutoboa kimaisha. Sababu hakuna comfort zone huko private.Ila wafanyakazi wa private wengi wnapitia frustration sana,haijalishi ukubwa wa taasisi,nyerere aliweka misingi mizuri ssna ya ajira za serikali kulinda utu wa mtu na ajira,kauli yake maarufu alisema hapendi umungu mtu,yaani mtu ashikilie hatma ya maisha ya mtu,waliobaki miungu wtu wachache serikalini wanaishia kufoka tu unawadharau maisha yanaendelea!!
Kwa maana hiyo ni ngumu sana kuwa na usimamizi imara serikalini na watanzania wengi hawapendi kufanya kazi kwa kujituma.Serikalini hakuna huo upumbavu, yaani msimamizi wa kazi na chawa wake unawashiana nao moto na fakini za kufa mtu.
Usirushe ngumi tu, hapa hata majaliwa au mpango akirusha kofi anatumbuliwa yeye.
Na ndiomaana wafanyakazi wengi wa serekali hufa masikini. Wanaona fahari kuwa kwenye hiyo comfort zone. Ni mbinu ya kizamani sana kumpa mfanyakazi comfort zone ili asiondoke umnyonye vizuri. Matokeo yake mtu akili yake huwa butu. Hafikirii hatima yake na wala hana mchango wa ziada kwenye eneo analofanya kazi. Huruma!!Kwa maana hiyo ni ngumu sana kuwa na usimamizi imara serikalini na watanzania wengi hawapendi kufanya kazi kwa kujituma.
Huduma nyingi huwa ni nzuri sana private kuliko serikalini
Ndiyo maana waki staff hawezi kuishi maisha ya uraiani nje ya mshahara utakuta anapokea nafao hajui ayafanyie jambo gani zaidi ya kujenga nyumba ambayo ndani ya utumishi angeisha ijengaNa ndiomaana wafanyakazi wengi wa serekali hufa masikini. Wanaona fahari kuwa kwenye hiyo comfort zone. Ni mbinu ya kizamani sana kumpa mfanyakazi comfort zone ili asiondoke umnyonye vizuri. Matokeo yake mtu akili yake huwa butu. Hafikirii hatima yake na wala hana mchango wa ziada kwenye eneo analofanya kazi. Huruma!!