Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,999
Niliwapa onyo mwaka jana... mkadhani ninawatania.. mjiandae.... mmoja baada ya mwingine ili liwe somo kwenu na kwa wapambe wenu.. Mnataka kuzungumzia mambo ya kitandani na chini ya mablanketi?
Niliwapa onyo mwaka jana... mkadhani ninawatania.. mjiandae.... mmoja baada ya mwingine ili liwe somo kwenu na kwa wapambe wenu.. Mnataka kuzungumzia mambo ya kitandani na chini ya mablanketi?
Niliwapa onyo mwaka jana... mkadhani ninawatania.. mjiandae.... mmoja baada ya mwingine ili liwe somo kwenu na kwa wapambe wenu.. Mnataka kuzungumzia mambo ya kitandani na chini ya mablanketi?
Sidhani kama kuna mtu atapona asilimia 90 ya wanasiasa nchini Tanzania wana vimada si upinzani si ccm!yakianza kutajwa majina na vimada wao humu ndani hapatakalika!!!Mzee mwanakjiji wastiri wazee wetu!!!
Niliwapa onyo mwaka jana... mkadhani ninawatania.. mjiandae.... mmoja baada ya mwingine ili liwe somo kwenu na kwa wapambe wenu.. Mnataka kuzungumzia mambo ya kitandani na chini ya mablanketi?
wao wakivua nguo na kwenda nude basi kila kitu kinakuwa fair game hapa JF .... na this time wasitegemee kuwa kuandika PM ili mambo yao yasiwekwe kutasaidia tena!
I warned these guys muda sasa lakini wamekuja na gia kubwa ya kuzusha na kuacha kujadili hoja chovu.Leo wameanza kumtukana Mbowe na Zitto na wameacha hoja yenyewe .It is aboit time sasa twende deep na kuona lipi linafaa .Nasema Wapinzani got nothing to loose sasa wacha tuingie kwa undani kijulikane kwanza CCM wanasema kuzaa nje ya ndoa ni Ujasiri .Comments za mtu mmoja last week mie hata sikutaka kugusa wala kusema leo nasema maana I am about to explode myself then mtaokota vipande
Ningefurahi kama ungeanza na kimada wa fisadi mkuu ambaye walikolea mpaka wakatiana mimba live ikabidi itolewe.
Wanainama, wanainuka, wanaona haoo!!!!
Mkjj, shusha mambo mwana wane, maana hawa watu badala ya kujibu hoja thabiti dhidi ya ufisadi na uharamaia wanaouufanya dhidi ya uchumui wa nchi yetu wao wanawatumia wapambe wao hapa kuwachafua watu wanaoonekana kuwa viongozi wa mapambano haya...tuone sasa nani atasalimika na katika vita ambayo wameianzisha wao,tatizo la uovu ni kuwa huwa unaacha a trail of where the doer passed...
Tatizo lao ni kuwa wanasahau kuwa mwenyekiti wa ccm wa taifa na ambaye pia ni raisi wa Tanzania - Jakaya Kikwete anaweza kuwa anaongoza kwa mambo ya chini ya kitovu kuliko wengi wanavyodhani.
Sasa kama Makamba alivyosema kuwa usirushe mawe ukiwa ndani ya nyumba ya vioo, basi sijui nani atasilimika huko sisiem ambako mambo yao yanajulikana hata na watoto wa shule ya msingi ya Mabibo!
Mwanakijiji unaanza tabia mbaya ya kuchafua viongozi wa serikali. Unakumbuka ulianzisha thread ya picha ya ngono za Kikwete na matokeo yake ukasababisha mmoja wa wachangiaji humu amchafue Rais wetu kwa ujumbe wake hapa: http://66.102.9.104/search?q=cache:...php?p=148313+Kikwete+Ngono&hl=en&ct=clnk&cd=1
Mjadala huu wa kuchafua viongozi ndio ukafuatiwa na kukamatwa kwa wanaJF. Sasa msiseme hamkuonywa.
PM
Duh! mtu unasoma mipost yote hii hakuna hata jina la kimada hata la kwanza tu...ama kweli mada zingine usanii...mnatishia tuuuu..utadhani mnataka jitoa mhanga! taja kama unajua,,kama hujui kula kona. Ok? Tafadhali watajaji msitaje wa JK maana ni kumvunjia heshima ati..ilikuwa enzi hajawa president..kwa sasa hana hata wa kumsogelea....msitaje vya zamani..tajeni live kama vipo.tajeni hata vimada wangu,,maana ni ujasiri au urijali wa ki-Dito ati. LOL!.