Vimada wa Vigogo Mafisadi..

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,460
39,928
Niliwapa onyo mwaka jana... mkadhani ninawatania.. mjiandae.... mmoja baada ya mwingine ili liwe somo kwenu na kwa wapambe wenu.. Mnataka kuzungumzia mambo ya kitandani na chini ya mablanketi?
 
Kheeee...vipi Yakhe...mzuka wa Kwame umekuingia nini? Mbona watoa onyo kali hivyo...?
 
Niliwapa onyo mwaka jana... mkadhani ninawatania.. mjiandae.... mmoja baada ya mwingine ili liwe somo kwenu na kwa wapambe wenu.. Mnataka kuzungumzia mambo ya kitandani na chini ya mablanketi?

Nakubaliana nawe maana recently kumekuwa na wanachama wapya ambao wamekuja mahususi kujibu hoja za ndugu ama Baba zao mafisaidi wana acha hoja sasa wana anza kusema mara Zitto na Wabunge w vipi maalumu na Mbowe .Haya nyuki wanaanza kufunguliwa tuone atakaye baki kasimama .
 
Niliwapa onyo mwaka jana... mkadhani ninawatania.. mjiandae.... mmoja baada ya mwingine ili liwe somo kwenu na kwa wapambe wenu.. Mnataka kuzungumzia mambo ya kitandani na chini ya mablanketi?

jamani Mwkjj mbona umeniacha kwny mataa mkuu, umeanza katikati bwana hebu tupe uhondo kama unao or am missingi something hapa
 
Sidhani kama kuna mtu atapona asilimia 90 ya wanasiasa nchini Tanzania wana vimada si upinzani si ccm!yakianza kutajwa majina na vimada wao humu ndani hapatakalika!!!Mzee mwanakjiji wastiri wazee wetu!!!
 
Niliwapa onyo mwaka jana... mkadhani ninawatania.. mjiandae.... mmoja baada ya mwingine ili liwe somo kwenu na kwa wapambe wenu.. Mnataka kuzungumzia mambo ya kitandani na chini ya mablanketi?

Mkuu Mwanakijiji, hapo gari lako limeanza na gia namba tano. Ile kuwashwa tu na kuondoka. Lipi limetimia ulilosema. Mwaga hadharani JF tuchambue.
 
Sidhani kama kuna mtu atapona asilimia 90 ya wanasiasa nchini Tanzania wana vimada si upinzani si ccm!yakianza kutajwa majina na vimada wao humu ndani hapatakalika!!!Mzee mwanakjiji wastiri wazee wetu!!!

sir Leem umetoka kwenye ile mada ambayo umeshabikia Mbowe kuitwa Malaya kalala na wabunge wa viti maalumu na Zitto .Hii tayari mmeshindwa hoja mnaanza vioja . Mambo haya si Mwanakijiji pekee anayajua tunayajua sote so sasa nadhani is time tuanze kutaja tuone wapi zaidi na wapinzani hawana cha kupoteza mwisho wa siku.So tuanze tuone atakaye salimika .
 
Niliwapa onyo mwaka jana... mkadhani ninawatania.. mjiandae.... mmoja baada ya mwingine ili liwe somo kwenu na kwa wapambe wenu.. Mnataka kuzungumzia mambo ya kitandani na chini ya mablanketi?

wao wakivua nguo na kwenda nude basi kila kitu kinakuwa fair game hapa JF .... na this time wasitegemee kuwa kuandika PM ili mambo yao yasiwekwe kutasaidia tena!
 
wao wakivua nguo na kwenda nude basi kila kitu kinakuwa fair game hapa JF .... na this time wasitegemee kuwa kuandika PM ili mambo yao yasiwekwe kutasaidia tena!

I warned these guys muda sasa lakini wamekuja na gia kubwa ya kuzusha na kuacha kujadili hoja chovu.Leo wameanza kumtukana Mbowe na Zitto na wameacha hoja yenyewe .It is aboit time sasa twende deep na kuona lipi linafaa .Nasema Wapinzani got nothing to loose sasa wacha tuingie kwa undani kijulikane kwanza CCM wanasema kuzaa nje ya ndoa ni Ujasiri .Comments za mtu mmoja last week mie hata sikutaka kugusa wala kusema leo nasema maana I am about to explode myself then mtaokota vipande
 
Ningefurahi kama ungeanza na kimada wa fisadi mkuu ambaye walikolea mpaka wakatiana mimba live ikabidi itolewe.
 
I warned these guys muda sasa lakini wamekuja na gia kubwa ya kuzusha na kuacha kujadili hoja chovu.Leo wameanza kumtukana Mbowe na Zitto na wameacha hoja yenyewe .It is aboit time sasa twende deep na kuona lipi linafaa .Nasema Wapinzani got nothing to loose sasa wacha tuingie kwa undani kijulikane kwanza CCM wanasema kuzaa nje ya ndoa ni Ujasiri .Comments za mtu mmoja last week mie hata sikutaka kugusa wala kusema leo nasema maana I am about to explode myself then mtaokota vipande

Taratibu mkuu!

Wakati mwigine nashawishika kusema kuwa Kikwete ahusiki na hawa surrogate wake hapa JF. Baada ya ile operation aliyofanya Mengi ya kuweka vinasa sauti kwenye mkutano wa Rostam Azizi, Balile na wanahabari wengine waliokuwa wanapanga njama ya kuanza kumchafua Mengi wa IPP, Kubenea, na Mbowe ili kulipiza kisasi kwa skendo za BoT na zinginevyo zinavyowekwa hadharani, nimegundua kuwa hawa jamaa wameamua kwenda south na from now on vitu vingi sana vinaanza kuwa fair game hapa.

Get it ready JF for the best retaliation mission in town!
 
Ningefurahi kama ungeanza na kimada wa fisadi mkuu ambaye walikolea mpaka wakatiana mimba live ikabidi itolewe.

Hapa ni kwamba ukumbi uko wazi ndugu Mambo taja tuzame kupata data za ukweli .So kama unamjua taja ama Kimada ama mwenye Kimada JF tutamalizia wenyewe
 

Wanainama, wanainuka, wanaona haoo!!!!

Mkjj, shusha mambo mwana wane, maana hawa watu badala ya kujibu hoja thabiti dhidi ya ufisadi na uharamaia wanaouufanya dhidi ya uchumui wa nchi yetu wao wanawatumia wapambe wao hapa kuwachafua watu wanaoonekana kuwa viongozi wa mapambano haya...tuone sasa nani atasalimika na katika vita ambayo wameianzisha wao,tatizo la uovu ni kuwa huwa unaacha a trail of where the doer passed...
 

Wanainama, wanainuka, wanaona haoo!!!!

Mkjj, shusha mambo mwana wane, maana hawa watu badala ya kujibu hoja thabiti dhidi ya ufisadi na uharamaia wanaouufanya dhidi ya uchumui wa nchi yetu wao wanawatumia wapambe wao hapa kuwachafua watu wanaoonekana kuwa viongozi wa mapambano haya...tuone sasa nani atasalimika na katika vita ambayo wameianzisha wao,tatizo la uovu ni kuwa huwa unaacha a trail of where the doer passed...

Tatizo lao ni kuwa wanasahau kuwa mwenyekiti wa ccm wa taifa na ambaye pia ni raisi wa Tanzania - Jakaya Kikwete anaweza kuwa anaongoza kwa mambo ya chini ya kitovu kuliko wengi wanavyodhani.

Sasa kama Makamba alivyosema kuwa usirushe mawe ukiwa ndani ya nyumba ya vioo, basi sijui nani atasilimika huko sisiem ambako mambo yao yanajulikana hata na watoto wa shule ya msingi ya Mabibo!
 
Tatizo lao ni kuwa wanasahau kuwa mwenyekiti wa ccm wa taifa na ambaye pia ni raisi wa Tanzania - Jakaya Kikwete anaweza kuwa anaongoza kwa mambo ya chini ya kitovu kuliko wengi wanavyodhani.

Sasa kama Makamba alivyosema kuwa usirushe mawe ukiwa ndani ya nyumba ya vioo, basi sijui nani atasilimika huko sisiem ambako mambo yao yanajulikana hata na watoto wa shule ya msingi ya Mabibo!

wasema hivyo mbona hawatiii mkono hapa si wanajifanya wanaweza kuzoza hovyo ? Sasa wacha tuanze .
 
Mwanakijiji unaanza tabia mbaya ya kuchafua viongozi wa serikali. Unakumbuka ulianzisha thread ya picha ya ngono za Kikwete na matokeo yake ukasababisha mmoja wa wachangiaji humu amchafue Rais wetu kwa ujumbe wake hapa: http://66.102.9.104/search?q=cache:...php?p=148313+Kikwete+Ngono&hl=en&ct=clnk&cd=1

Mjadala huu wa kuchafua viongozi ndio ukafuatiwa na kukamatwa kwa wanaJF. Sasa msiseme hamkuonywa.

PM

Paparazi Muwazi mbona vitisho vingi sana!

Ingawa sidhani kama njia ya kuanza kuweka ngono za Kikwete hapa (ambazo ni kibao tu kwenye shelf) ni njia lakini sidhani kama ukianza vitisho hapa ndio unasaidia chochote zaidi ya kukumbusha machungu ya kukamatwa kwa wana JF --- grrrrrrrr
 
Duh! mtu unasoma mipost yote hii hakuna hata jina la kimada hata la kwanza tu...ama kweli mada zingine usanii...mnatishia tuuuu..utadhani mnataka jitoa mhanga! taja kama unajua,,kama hujui kula kona. Ok? Tafadhali watajaji msitaje wa JK maana ni kumvunjia heshima ati..ilikuwa enzi hajawa president..kwa sasa hana hata wa kumsogelea....msitaje vya zamani..tajeni live kama vipo.tajeni hata vimada wangu,,maana ni ujasiri au urijali wa ki-Dito ati. LOL!.
 
debe tupu haliachi kupiga kelele.

ukiona mtu ntaje si taje nyingi ujue hana mpya huyo mtendaji hana maneno mengi.
 
Duh! mtu unasoma mipost yote hii hakuna hata jina la kimada hata la kwanza tu...ama kweli mada zingine usanii...mnatishia tuuuu..utadhani mnataka jitoa mhanga! taja kama unajua,,kama hujui kula kona. Ok? Tafadhali watajaji msitaje wa JK maana ni kumvunjia heshima ati..ilikuwa enzi hajawa president..kwa sasa hana hata wa kumsogelea....msitaje vya zamani..tajeni live kama vipo.tajeni hata vimada wangu,,maana ni ujasiri au urijali wa ki-Dito ati. LOL!.

inaonekana hujasoma hiyo link ya Paparazi muwazi hapo ili upate pa kuanzia mkuu!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom