Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,322
- 33,128
Hapa kwenye red! Umenifurahisha sana umenikumbusha mndenyi!!!Huko kwa ndani sijui wanatumia nini kufanya pawe clean and smooth.
Ila mmh, kutembelea sawa lakini kulala oteeee!
duuuh zamani nilikuwa nadhanishia ngozi nyeupe ni full vicheko duniani humu... kweli kua uyaone kumbe kuna ngozi nyeupe zinataabika vibaya mno jamani!
Nikiwa teyari nitakujuulisha ili tuende pamoja usijali bibie Madame B nitakuchukuwa wewe pamoja na mkuu King'asti tuende pamojaUkienda nistue ili nami nikusindikize MziziMkavu
Unataka tuende pamoja kutembea Mkuu King'asti Afghanstan?Huko kwa ndani sijui wanatumia nini kufanya pawe clean and smooth.
Ila mmh, kutembelea sawa lakini kulala oteeee!
Ndio mkuu huku kuzuri ile mbaya ukizoeya maisha ya huku hutaki kurudi nyumbani tena Mbuzi MzeeLove it Mzizi. This might work better kule "Rock City"