Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,925
- 141,864
mi staki hiyo bana, ntaftie yenye sura nzuri hata nikiiangalia natamani kuirambaaaa!
Hii vipi?
mi staki hiyo bana, ntaftie yenye sura nzuri hata nikiiangalia natamani kuirambaaaa!
Nene nene ndio huwa napenda kula....
hahaa watu hawachelewi kusema wananichosha wanaochakachua tread za wenzao
Hii vipi?
![]()
dah!!! hadi nimelamba screen hamisi, usisababishe mwaka mpya nikaukaribishia hotelini badala ya nyumba ya ibada bana.
Unapenda kuweka vikolezo gani wakati wa kuila? mayonnaise? mustard? catsup? sour cream?
hahaha, mi namuonea huruma the boss, thread imeingia virusi. jamani moderators mpo wapi mje mfute comments zetu!!!!
Nimechoka kusikia Bapa Paroko anakula Kondoo zake........
Its time he get serious with his career
Wapi nimesema nakula kondoo wangu?
Halafu nina kesi na wewe....!!!!!!
haya, sogeza shavu basi.... hujaacha tu kale "kauoga kako"?
wakili wangu Tundu Lissu ko jiandae kushindwa kwenye hiyo kesi
Nimechoka na ubaguzi chadema