Vilivyo chosha kuvisikia 2013...

Vilivyo chosha kuvisikia 2013...

Nimechoshwa na wazinifu wanaozini huko wanakojua kisha kuja kuanika uchafu walioufanya humu jamvini.

Wasipokoma Laana ya Muumba wa Mbingu, Dunia na vyote vilivyomo vinavyoonekana na visivyoonekana iwashukie. Aameen
 
Sembe na link ya ma celeb wa TZ imechosha kwa kweli...

Hapo vipi?

20131230_024616.jpg
 
Nimechoshwa na wazinifu wanaozini huko wanakojua kisha kuja kuanika uchafu walioufanya humu jamvini.

Wasipokoma Laana ya Muumba wa Mbingu, Dunia na vyote vilivyomo vinavyoonekana na visivyoonekana iwashukie. Aameen

Ati unasemaje?

20131231_035249.jpg
 
Nimechoshwa na habari za polisi kukamata magaidi wenye mapanga,forceps,rungu na manati.

Nimechoshwa na uswampaji usio na tija wa Jei Kei ughaibuni kama vipi mwaka huu awe anatumia mshahara wake kwa misele yake.
 
Nimechoka kuona thread hii inaendelea... wakati tayari tupo mwaka mwingine
 
Lukuvi apewe ubalozi aisee
kachoosha hadi basi

Nimechoka Mitusi ya wafuasi wa CDM,, mituzi kama baba yako..... mama yako..... Buku saba hiyo...... Lumumba sijui nini..... mitusi hii na mingine mingi ya kitoto imekimbiza watu makini kimya kimya maana chama kinaonekana kama cha kihuni vile!!! umoja wa vijana CDM wadhibiti hili liko ndani ya uwezo wao
 
Nimechoka kusikia division 5 na BRN wakati walimu hawajalipwa madeni yao
 
Vitu gani vilikuchosha mno kuvisikia na
unatamani usivisikie tena mwaka 2014
upate tu break ya kuvisikia?

mimi najaribu orodhesha binafsi ambavyo natamani
nisivisikie.....kabisa ikiwezekana..

1. Mwigulu Nchemba hili jina limenichosha kabisa kulisikia
kama akiteuliwa ubalozi hivi huko New Zealand hivi itakuwa safi kwa kweli..

2.Mgogoro wa CHADEMA na Zitto ..natamani uishe
kwa uamuzi wowote hilo tujadili mengine

3. Mpira wa fitina ..mara Rage sijui nini,mara ukabila TFF
wakati wenzetu mwaka huu wako Brazil kwenye World Cup..

4.Threads za punyeto JF....dah kwa kweli hili limetosha now
tusha jadili na kushauri,mwingine mwenye tatizo ajaribu tu ku search..

5.Wema Sepetu....its time huyu aolewe na azae watoto sasa
aanze kuishi her age ...sio katoto tena..

6.Diamond.. natamani nisikie nyimbo zake tu..
mengine ikibidi nisisikie...yamenichosha masikio..enough sasa

7.Bongo movie...hivi lini tutasikia movie ya ukweli?
yenye actors wa nje na ndani ikibidi?

mengine ongezeeni....

snowhite King'asti Ennie Kaunga EMT Dark City Kasinde Heaven on Earth Mtambuzi platozoom Power to the People Jawilat Fixed Point Kongosho Broken soul gilgal

Aisee hapo umeongea kweli kabisa mimi pia mambo hayo wananikera sana. Pia mini nilikerwa sana na haya:
8. Global publishers na stori za wasanii tu
9. Huu msemo --------- sana na akina dada "umeona eeeeeeee" ulinikera sana
10. Huu msemo pia hasa --------- na akina dada "chezea wewe" lilinikera sana
11. kila kitu mtu kupost fb, mtoto kazaliwa leo tayari anamweka fb. Mtu yuko ofisini anacha kufanya kazi anapiga picha na kuweka fb ilinikera sana
12. watu kuchanganya kiingereza na kiswahili "coz nilimcall akanitell kwamba atacome" huu ni ujinga
13. watu kutumia vifupi vya maneno kupitiliza kama vile "m2", "nimewamic"
 
Back
Top Bottom